Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu ....
Naomba kujua matibabu rahisi kwa mtu ambaye anaumwa ugonjwa wa gono , mtu ambaye tayari ume wake umeshaanza kutoa maji maji ( Usaa ) kabisa, ni dawa gani nzuri na za uhakika anafaa kutumia za hospital au miti shamba ili kupona tatizo hilo.
Naomba kujua matibabu rahisi kwa mtu ambaye anaumwa ugonjwa wa gono , mtu ambaye tayari ume wake umeshaanza kutoa maji maji ( Usaa ) kabisa, ni dawa gani nzuri na za uhakika anafaa kutumia za hospital au miti shamba ili kupona tatizo hilo.