death strokes
Member
- Dec 16, 2022
- 49
- 126
hapana sio kununua bidhaa nataka kujua namna kuingiza pesa kupitia mitandaoHapo hata mm cjaelewa hitaji lako, je utaitaji jununua bidhaa on line? Au
sorry nilikuwa na shughuri kidogo imenibanaNjoo uone comments ujibu ili utatuliwe shida yako,hivi inakuaje unaleta jambo halafu unapotea?
Ni bando au ndivyo ulivyo?
ndio naomba unielekeze mkuu yaani hizi mambo huwa nasikia ila sijawi zielewa maana tunatumia smart zetu vibaya kumbe kuna njia ya kuingiza pesaUnataka uingize pesa kupitia simu Yako? Yaani kwakuuza habari au kufanya kazi online? Basi subiri muongozo
Jifunze forex mkuu utanishukuru baadae...Habari zenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu kama kuna mtu mwenye ujuzi namna ya kuingiza pesa basi nahitaji kujua angalau nielewe hii kitu maana nimekuwa nikisikia sijui online business lakini sielewi chochote.
Jamani nahitaji mchango wenu nyie wenzetu wenye ujuzi hata kidogo.
View attachment 2579751
Kwa sasa kuna huyu bwana anaitwa ChatGPT, ukimtumia vizuri kuandika articles na copywriting ukauza ujuzi wako mtandao kama freelancer.com unaweza kuingiza ela ya kutosha hata laki 2-3 kwa wiki. La msingi ni ukomae huko upate client. Ila mwanzo mgumu ila ukikomaa pia ukaongeza jinsi ya kuitumia kuandika articles zenye vigezo vya SEO utakuwa safe side.Habari zenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu kama kuna mtu mwenye ujuzi namna ya kuingiza pesa basi nahitaji kujua angalau nielewe hii kitu maana nimekuwa nikisikia sijui online business lakini sielewi chochote.
Jamani nahitaji mchango wenu nyie wenzetu wenye ujuzi hata kidogo.
View attachment 2579751
Nishafika nikampa mwongozo Mkuu πππHapa bila mkubwa NAFAKA muongozo haujatimia
Tumia UpworkHabari zenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu kama kuna mtu mwenye ujuzi namna ya kuingiza pesa basi nahitaji kujua angalau nielewe hii kitu maana nimekuwa nikisikia sijui online business lakini sielewi chochote.
Jamani nahitaji mchango wenu nyie wenzetu wenye ujuzi hata kidogo.
View attachment 2579751
Forex wengi wanapoteza pesa, atafute ajira kwanza, forex iwe option namba mbili mpaka atakapokuwa profitable trader ndo aamue kuachana na jobs.Jifunze forex mkuu utanishukuru baadae...
asante mkuuKwa sasa kuna huyu bwana anaitwa ChatGPT, ukimtumia vizuri kuandika articles na copywriting ukauza ujuzi wako mtandao kama freelancer.com unaweza kuingiza ela ya kutosha hata laki 2-3 kwa wiki. La msingi ni ukomae huko upate client. Ila mwanzo mgumu ila ukikomaa pia ukaongeza jinsi ya kuitumia kuandika articles zenye vigezo vya SEO utakuwa safe side.
forex ni nini inaingizaje pesaJifunze forex mkuu utanishukuru baadae...
samahani unaeza nielezea hio upworkTumia Upwork
Nifundishe kubetTafuta mtaji uanze ata kubet online Kama option ya pembeni. Ila forex ipo vizuri sanaaaa but unahitaji muda mrefu kijifunza, kuielewa na kupigwa ela ila ukisha elewa ndo umshukuru piece maker.
Anhaaaaa apo unitafute mkuuNifundishe kubet