Naomba kujuzwa sheria za kumpa mpangaji notice

Naomba kujuzwa sheria za kumpa mpangaji notice

Hayo ni masuala ambayo yapo kisheria ..lakini kama hana mkataba halafu wewe unataka kumpa notice haingii akilini..notice hufanya vizuri ikiwa mliandikiana mikataba wakati anaingia kwa nyimba yako.fanya nae mazungumzo myamalize mkuu kama hakulipi huo mwezi mmoja bora aachie chumba upangishe mwingine kwa maandishi..ila ukienda kumpa notice ile notice inampa huyo mpangaji siku 90, za kujiandaa ili apate mahali salama..kumbuka hizo siku 90 hatalipia hata sumni.
 
Sorry nahisi sijajieleza vizuri.
Ni mpangaji wangu mwaka wa pili sasa ana amekuwa akilipa on time ila alitakiwa kulipa kodi mpya tangia tarehe 1 Jan 2021 ila mpaka sasa hajalipa na tumesha anza mwezi wa pili
sasa si naongea nae kwanza kuna mda mambo yana kwama na unaweza shangaaa akakulipa youte kwa wakati mmoja cha msingi kaanae chini kwanza muonge vizuriiii mimi jamaa yangu hajalipa mwezi wa 3 saizi na mwenye nyuma ni mwelewa sana
 
Sorry nahisi sijajieleza vizuri.
Ni mpangaji wangu mwaka wa pili sasa ana amekuwa akilipa on time ila alitakiwa kulipa kodi mpya tangia tarehe 1 Jan 2021 ila mpaka sasa hajalipa na tumesha anza mwezi wa pili
Yaani mwezi mmoja tu umepita hajalipa hadi unaleta malalamiko humu mkuu?Mimi wapangaji wangu kuna mmoja ana miezi mitano hajalipa na mwingine miezi 4 lakini bado naendelea kuwavumilia maana huwezi kujua mtu ana matatizo gani.

Hivi vibanda tusivitumie kuwanyanyasa wengine huwezi kujua kesho atakuwa nani.Nyumba sio gari useme inatumia mafuta.

Pia kwa mwenye nyumba ambaye hajishughulishi na shughuli nyingine ya kujipatia kipato badala yake kutwa yupo nyumbani kuwinda kodi za wapangaji huyo hawezi kumvumilia mpangaji ni kero kila mara.

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Yaani mwezi mmoja tu umepita hajalipa hadi unaleta malalamiko humu mkuu?Mimi wapangaji wangu kuna mmoja ana miezi mitano hajalipa na mwingine miezi 4 lakini bado naendelea kuwavumilia maana huwezi kujua mtu ana matatizo gani.

Hivi vibanda tusivitumie kuwanyanyasa wengine huwezi kujua kesho atakuwa nani.Nyumba sio gari useme inatumia mafuta.

Pia kwa mwenye nyumba ambaye hajishughulishi na shughuli nyingine ya kujipatia kipato badala yake kutwa yupo nyumbani kuwinda kodi za wapangaji huyo hawezi kumvumilia mpangaji ni kero kila mara.

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Mkuu Mungu akubariki sana kwa moyo huo.......nyumba ni zaidi ya biashara nyumba ni stara.......

Tujitahidi kuwa wastahimilivu kwa wenzetu....

Mimi nilishawahi kufukuzwa nyumba ya kupanga tena week tu baada ya kupata ajali iliyoniweka nyumbani kama miezi 6.....nikalazimika kurudi kijijini kujipanga upya.....imagine mtu tuliyekaa miaka mi 4 na hakuna hata siku moja niliyowahi kumzungusha kodi yake.....kodi ya kumpa nilikuwa nayo isipokuwa nilimuona hana ubinadamu......nikaamua kumuachia nyumba yake.......

Kuna muda wenye nyumba wanakuwaga wanyama sana......

Hongera mkuu kwa kuweka ubinadamu mbele badala ya Mali.....
 
Mkuu Mungu akubariki sana kwa moyo huo.......nyumba ni zaidi ya biashara nyumba ni stara.......

Tujitahidi kuwa wastahimilivu kwa wenzetu....

Mimi nilishawahi kufukuzwa nyumba ya kupanga tena week tu baada ya kupata ajali iliyoniweka nyumbani kama miezi 6.....nikalazimika kurudi kijijini kujipanga upya.....imagine mtu tuliyekaa miaka mi 4 na hakuna hata siku moja niliyowahi kumzungusha kodi yake.....kodi ya kumpa nilikuwa nayo isipokuwa nilimuona hana ubinadamu......nikaamua kumuachia nyumba yake.......

Kuna muda wenye nyumba wanakuwaga wanyama sana......

Hongera mkuu kwa kuweka ubinadamu mbele badala ya Mali.....
Binafsi huwa nawachukulia wapangaji wangu kama ndugu kabisa na huwa tunaishi vizuri na wengi wao wameishi hapa hadi wamefanikiwa kujenga nyumba zao na huwa wanakuja kunisalimia kama uhusiano mzuri tulokuwa nao.

Huwezi kunikuta hata siku moja namkumbusha mpangaji kuhusu kodi hata kama najua amepitiliza muda maana najua kwa vyovyote vile atakuwa amepata matatizo hivyo akiwa vizuri atanicheki.

Na nilishamwambia mke wangu chonde chonde asije akawabughudhi wapangaji nashukuru Mungu ni mwelewa hakuna matatizo na wapangaji.

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Mungu akubariki sana kwa moyo huo.......nyumba ni zaidi ya biashara nyumba ni stara.......

Tujitahidi kuwa wastahimilivu kwa wenzetu....

Mimi nilishawahi kufukuzwa nyumba ya kupanga tena week tu baada ya kupata ajali iliyoniweka nyumbani kama miezi 6.....nikalazimika kurudi kijijini kujipanga upya.....imagine mtu tuliyekaa miaka mi 4 na hakuna hata siku moja niliyowahi kumzungusha kodi yake.....kodi ya kumpa nilikuwa nayo isipokuwa nilimuona hana ubinadamu......nikaamua kumuachia nyumba yake.......

Kuna muda wenye nyumba wanakuwaga wanyama sana......

Hongera mkuu kwa kuweka ubinadamu mbele badala ya Mali.....
Nyumba na vitu vingine sio vitu vya kujivunia maana tutakufa tutaviacha hapa hapa duniani kesho kwa Mungu utaulizwa ulivitumia vipi mali alizokuruzuku Mungu kwa wengine.

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Binafsi huwa nawachukulia wapangaji wangu kama ndugu kabisa na huwa tunaishi vizuri na wengi wao wameishi hapa hadi wamefanikiwa kujenga nyumba zao na huwa wanakuja kunisalimia kama uhusiano mzuri tulokuwa nao.

Huwezi kunikuta hata siku moja namkumbusha mpangaji kuhusu kodi hata kama najua amepitiliza muda maana najua kwa vyovyote vile atakuwa amepata matatizo hivyo akiwa vizuri atanicheki.

Na nilishamwambia mke wangu chonde chonde asije akawabughudhi wapangaji nashukuru Mungu ni mwelewa hakuna matatizo na wapangaji.

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Mungu akuhifadhi ili uwe alama ya binadamu wanaoangalia utu kuliko kitu.....iko siku utavuna matunda mema ya utu wako......
 
Sorry nahisi sijajieleza vizuri.
Ni mpangaji wangu mwaka wa pili sasa ana amekuwa akilipa on time ila alitakiwa kulipa kodi mpya tangia tarehe 1 Jan 2021 ila mpaka sasa hajalipa na tumesha anza mwezi wa pili
Kweli unashindwa kuwa mvumilivu kiasi hiki. Yaani unaweza kuja kupata kimeo. Jaribu kuongea naye kujua tatizo ni nini.
 
Wenye nyumba ebu tafuteni shughuli nyingine za ziada kuliko kutegemea kodi kuendesha maisha!

Mwezi mmoja tu unataka umfukuze mpangaji? Kwani hakupi ushirikiano? Je biashara kaifunga?
Ninakubaliana nawe Mkuu asilimia Mia!
Mpangaji wako wa miaka miwili ambaye unakiri kuwa alikuwa hakupi Tabu kwenye Malipo.
Leo a menu held we she a Kodi kwa Mwezi Mmoja tu, Tena Mwezi Mwenyewe wa January, tayari umeishamlea JF ikushauri namna ya Kumtimua?? Dan!
Usiingize JF Roho Mbaya, Mkuu !!![emoji15][emoji15]
 
Kwanza sio rahisi hivyo kumtoa mpangaji kama atapata mwongozo mzuri wa sheria.
Kuna nyumba ya Ndugu yangu Mikocheni alijiingiza kwenye mgogoro na wapangaji wameenda mahakamani ni mwaka wa nne sasa wanakaa na hawalipi chochote na kesi inapigwa tarehe tu.
Kaa nae chini alipe hata pole pole. Maisha mitego Bwana Landlord.
 
Mimi nyumba ninayokaa..nimekaa mwaka mzima sikuwahi pitisha kodi hata siku moja yaani kila ikifika tarehe nalipa kodi tena miezi 3 na kuendelea sasa kutokana na system ya maisha nikajikuta nimefanya mambo mengi kwa wakati mmoja nikaishiwa pesa ..mwezi January kodi ikawa imeisha nikaongea na baba mwenye nyumba(ile nyumba tunakaa wapangaji watatu tu) na mwenye nyumba anaishi mbali kidogo na pale ila mtaa huo huo ana duka....Yule mzee akaelewa fresh kwa ahadi nimpe mwezi wa 3 ...doh J2 iliyopita asubuhi nimelala home saa 12 asubuhi nasikia hodi kufungua namuona mama mwenye nyumba akaanza ongea kwa sauti kuidai hela majirani wakasikia kile kitendo kilikera kishenzi maana nilishampanga mumewe na akaelewa.

Akatapika pale mwisho nikashindwa mvumilia nikamfukuza hakuamini,kama naweza mfukuza kama mbwa nyumbani kwake(yeye na mumewe)...alipoondoka kwenye saa 4 nikampigia simu mumewe kumueleza hali ilivyo nilimaindi sana Baba mwenye nyumba akomba radhi kua hakumtuma ila yeye huwa na kawaida akipata kodi humpa mkewe kama hela ya matumizi na alipomwambia mimi bado sijampatia alikua haaamini ndo maana labda alikuja mwenye ila atamkanya na akaomba radhi.

Sasa hiyo scenerio ya mtoa mada ni kama yangu mtu unakaa kwenye nyumba muda mrefu wala humsumbui mwenye nyumba siku ukichacha kidogo kelele kibao yote kwa kua mtu anafanya nyumba ndo maisha yake.
Wenye nyumba ebu tafuteni shughuli nyingine za ziada kuliko kutegemea kodi kuendesha maisha!

Mwezi mmoja tu unataka umfukuze mpangaji? Kwani hakupi ushirikiano? Je biashara kaifunga?
 
Hebu Mpe muda hata miezi 2,mwambie ajitahidi ndani ya hiyo miezi akishindwa ahame .binadamu tunapitia mengi, hata kama tunahitaji fedha utu pia wakati mwingine ni muhimu...Mungu atakulipa vizazi vyako mbeleni....Mimi nilishasema nikipangisha MTU ashindwe kulipa ntafanya ubinadamu kwanza ....
 
Sorry nahisi sijajieleza vizuri.
Ni mpangaji wangu mwaka wa pili sasa ana amekuwa akilipa on time ila alitakiwa kulipa kodi mpya tangia tarehe 1 Jan 2021 ila mpaka sasa hajalipa na tumesha anza mwezi wa pili
Ulimuuliza sababu ya kuchelewa? Je yeye alikuja kujieleza sababu za kuchelewa kulipa?

Ukipata haya majibu ya maswali haya utajua namna ya kufanya maamuzi
 
Back
Top Bottom