Naomba kujuzwa sheria za kumpa mpangaji notice

Naomba kujuzwa sheria za kumpa mpangaji notice

Poleni majukumu humu jamvini.

Naomba kujua sheria ya kumtoa mpangaji alieshindwa kulipa kodi. Je unatakiwa kumpa notice ya muda gani?

Kwasasa hajalipa kodi ya mwezi January na ameingia mwezi wa pili.
Kuwa mvumilivu mkuu, muite ongea nae mfikie muafaka...maisha yana changamoto, ikiwa sio msumbufu muite mfikiane muafaka ila kama ni msumbufu hapo mtoe, ndio tabja yake.
 
Sorry nahisi sijajieleza vizuri.
Ni mpangaji wangu mwaka wa pili sasa ana amekuwa akilipa on time ila alitakiwa kulipa kodi mpya tangia tarehe 1 Jan 2021 ila mpaka sasa hajalipa na tumesha anza mwezi wa pili
Kumbe analipaga vizuri, na mmeishi miaka miwili...muite ongea nae, maisha ni support kwa kila mmoja, unamsaidia hiki yeye na ww utasaidiwa kingine na mwngne naamini hamna mkamilifu una mahitaji pia.
 
Kwanza sio rahisi hivyo kumtoa mpangaji kama atapata mwongozo mzuri wa sheria.
Kuna nyumba ya Ndugu yangu Mikocheni alijiingiza kwenye mgogoro na wapangaji wameenda mahakamani ni mwaka wa nne sasa wanakaa na hawalipi chochote na kesi inapigwa tarehe tu.
Kaa nae chini alipe hata pole pole. Maisha mitego Bwana Landlord.
Yaani kesi ya nyumba inaenda mahakamani kufanya nini? Mahakama gani hizo zinasikiliza mambo ya kupangisha?

Mwaka wa 4 kesi haijaisha watu wanakaa bure? Mkuu labda kama kuna mambo hatuyajui

Labda kama hiyo nyumba wamejenga wao
 
Poleni majukumu humu jamvini.

Naomba kujua sheria ya kumtoa mpangaji alieshindwa kulipa kodi. Je unatakiwa kumpa notice ya muda gani?

Kwasasa hajalipa kodi ya mwezi January na ameingia mwezi wa pili.
Yan miez miwil tu unataka kumfukuza, kuwa na utu aya maisha sio poa mkuu,,, Busara itumike
 
Poleni majukumu humu jamvini.

Naomba kujua sheria ya kumtoa mpangaji alieshindwa kulipa kodi. Je unatakiwa kumpa notice ya muda gani?

Kwasasa hajalipa kodi ya mwezi January na ameingia mwezi wa pili.
Mtoto wako amepanga huku Iringa anasoma Rucu ngoja nae tumtimue maana amesema atalipa Kodi mpakw bumu litoke.

Tulipanga kumvumilia ila kwa sababu ya ukauzu wako ngoja tulipize huku kwa mwanao.
Pumbv we!
 
Wenye nyumba ebu tafuteni shughuli nyingine za ziada kuliko kutegemea kodi kuendesha maisha!

Mwezi mmoja tu unataka umfukuze mpangaji? Kwani hakupi ushirikiano? Je biashara kaifunga?
Kodi ndo shughuli yake kajenga ili ale Kodi,
 
Back
Top Bottom