DR Mambo JamboHabari zenu ndugu zangu.
Mimi ni binti wa miaka 26, sijaolewa na Sina mtoto.
Mwaka Jana nilisumbuliwa sana uvimbe kwenye mayai mpaka ikapelekea kufanya upasuaji nikiwa na matumaini nimepona.
Ila sasa umerudi tena, na unakua kwa kasi, sasa nna uvimbe wa Centimeter 10, daktari wa wanawake amenambia nifanye tena upasuaji.
Sasa kama nilifanya umerudi nahofia utarudi tena,
Kama Kuna mtu anajua suluhisho ya hili naomba msaada hata wa tiba za asili.
Bado tu unauliza uliza?Nimeshakutana na mtaalamu wa hospital moja kubwa tuh, amenambia nifanye surgery
Hilo ni jambo tunaishi nalo. Unadhani hata sisi dada zako tuna maisha? Au wakuzaa nao?? Hell no!!! .. we unadhani kwanini mimi nmelipa mgongo hilo swala? Kwasababu sitarajii kuzaa leo wala kesho. Maisha yangu hayanihitaji kuwa na uzao kwa sasa ama kwa karibuniNdugu yangu kuzaa hukurupuki,
Na upate huyo wa kuzaa nae, uwe na uwezo wa kulea,
Nami kwenye mapenzi Sina bahati so Sina mtu hata wa kumfikiria nitaweza kuzaa nae, labda waume za watu, na kitu ambacho sijawahi fanya na sitaki kufanya kudate hao waume za watu.
Una uhakika au unatuficha ili tusikuseme? [emoji848] Usiogope kusema ukweli, kama umeshawahi meza vile vidonge vya aina yoyote vya kuzuia ujauzito wewe sema usijiskie hofu wala vibaya sema tukupe njia za kufanya.Sijawahi kutumia uzazi wa mpango
Shida inaanzia hapa. Una umri gani kwasasa? [emoji848]Sijajipanga kuzaa sasa
Kusubiria hadi upate kazi ni kujitesa na kupoteza muda tu, kutunza mtoto na mama yake sio jukumu lako ni la baba.Dah!
Dada unaweza kuzaa kama huna kazi na huna mtu wa kuzaa nae?!
Ukiwaza unamtunzaje na haujampata maana yake haupo tayari na haupo serious na maamuzi ya kuwa mama wa familia.Ndugu Asante kwa kunijibu!
Mimi Nina ovarian cyst sio fibroids,
Na kuzaa sio suala la umri ni uwezo wa kulea mtoto, napenda sana watoto, sana, ila namtunzaje
Sio mzuri ndio!Kusubiria hadi upate kazi ni kujitesa na kupoteza muda tu, kutunza mtoto na mama yake sio jukumu lako ni la baba.
Kuhusu mwanaume, unakosaje kwa mfano au wewe sio mzuri hadi ukose mwanaume wa kukupa ujauzito na kuzaa nae watoto muishi pamoja.
Ndugu yangu,Una uhakika au unatuficha ili tusikuseme? [emoji848] Usiogope kusema ukweli, kama umeshawahi meza vile vidonge vya aina yoyote vya kuzuia ujauzito wewe sema usijiskie hofu wala vibaya sema tukupe njia za kufanya.
Kati ya hivyo ulivyosema vyooote nimefanya kimoja,Una history ya kutumia vizuia ujauzito vya aina yoyote ile?
Je, una mwili wa unene au wastani?
Umeshawahi kushika ujauzito na ukautoa?
Umeshawahi kutumia dawa zozote za kuzuia ujauzito kama P2? [emoji848]
Ukijibu haya kwa uwazi na ufasaha nitakuelekeza cha kufanya.
Yes!Hilo ni jambo tunaishi nalo. Unadhani hata sisi dada zako tuna maisha? Au wakuzaa nao?? Hell no!!! .. we unadhani kwanini mimi nmelipa mgongo hilo swala? Kwasababu sitarajii kuzaa leo wala kesho. Maisha yangu hayanihitaji kuwa na uzao kwa sasa ama kwa karibuni
Nilikushauri nikidhani labda pengine unapambana unahitaji mtoto siku za usoni, siunajua humu hatujuani nikahisi pengine umejipata mdogo angu uzae..😊 ila usijali kila kitu chako kitakaa sawa very soon utapata wa maisha na utatuletea wakina mamkubwa.
Ni kweli uko sahihi sana,lakini jambo gumu ni kuwa huwezi kupona bila kujaribu kwa kuogopa kutapeliwa.Unapokuwa na ugonjwa siyo lazima upone,kuna magonjwa mengine unakuta ndiyo Mungu amepanga iwe njia ya mtu kuondoka duniani.Nenda mhimbili,Bugando na kila mahali mpaka appolo India,watu wanafariki kwa changamoto mbalimbali za magonjwa na hakuna anayesema wametapeliwa.Ili uweze kupata tiba lazima ukubali kwanza kutibiwa,you never know unaweza kupona katika kile unachokiona kukipuuza.Ninamtia moyo Dada azidi kupambana kutafuta tiba,tena katika magonjwa mepesi kupona katika dawa za mimea ni pamoja na vimbe kwenye kizazi!!Pole, nadhani tatizo lako litaisha. Tahadhari. Watu wa dunia ya sasa hawana huruma na unapokuwa na shida wanaweza kukufilisi. Uwe na tahadhari sana kwa hawa watu wanajifanya kuwa na ujuzi wa dawa za asili. Wengi ni matapeli. Kama unataka kujaribu basi uwe na tahadhari na usikubali kulipa fedha nyingi. Ikiwezekana mwambie akupe utumie na ukipona ndiyo ulipe. Matapeli wengi wana maneno mengi sana na ahadi tamu tamu huku wakitoza gharama kubwa.
Hongera dearNilishawahi kuwa na hii case ya ovarian cyst tena upande mmoja, nilielezwa imesababishwa na hormonal imbalance ( nilipimwa) nikapewa dawa baada ya miezi 3 isipoisha au kupungua nilishauriwa operation, uzuri iliisha. Nilisisitizwa sana na doc kuzaa ili kuzuia tatizo kurudi na uzuri ikawa hivyo na tatizo halijawahi kunirudia hadi sasa