Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aloooh kumbe humu ndani kuna vichwa balaa🙌🏾🙌🏾wacha niendelee kuchukua elimuUmri umeshaenda huo .
Na bila shaka huo uvimbe unaosemea itakuwa ni uterine fibroid maana unachochewa na kama hivyo kuwa na low parity(kuzaa watoto wachache mfano mtoto mmoja) ,nulliparity(kutowahi kuzaa kabisa) ,hormonal imbalance kama vile higher level of oestrogen ,na mara nyingi kadri oestrogen inavyoongezeka na ka fibroid kana ongezeka.
Pia unavyozidi kuchelewa unakuwa kwenye risk kubwa ya mimba kutunga nje ya mji wa mimba (Uterus), hiyo misuli inakuwa inachoka inapelekea kupata cervical incompetence mimba zitaishia kutoka tu.
DR Mambo Jambo
basi ,, sikiliza ushauri wa madaktariMimi Sina fibroids
✍️✍️✍️✍️✍️Nakazia 🔨
Fanya ivo,,,ukikaa sawa,, ZAA MTOTO.Nimeshakutana na mtaalamu wa hospital moja kubwa tuh, amenambia nifanye surgery
Wewe unashangaza😳dada,unachokula na mtoto atakula hali yako inaweza pelekea ukose mtoto baadae na ukiwa tayar unauhitaji,,unakosaje mwanaume wa kuzaa nae😳😳!!!!?
Umejuaje huna fibroid?Mimi Sina fibroids
Khaah wew hii kali aseee,, hatakama ni matope utakula nae😄,,nikufundshe jinsi ya kumpata kwamba hutongozwi😳😳Wewe unashangaza😳
Nakosaje wa kuzaa nae??!
Nikamkamate au nifundishe jinsi ya kimpata,
Then unajua mi nakula nini😆
Wewe una matatizo zaidi ya hili ulilolileta hapa .Nami kwenye mapenzi Sina bahati so Sina mtu hata wa kumfikiria nitaweza kuzaa nae, labda waume za watu,
Duuh we kaka!Umejuaje huna fibroid?
Je umefanyiwa kipimo cha trans vaginal ultrasound(TVS) ili ku confirm huo uvimbe upo wapi?
Sawa,, fanya ulivoambiwa na wataalamAmechanganya vitu, sijui hakusoma vizuri, Mimi Sina fibroids Nina ovarian cyst
Hahahaha 😂 daaaah imebidi ncheke sasaWewe una matatizo zaidi ya hili ulilolileta hapa .
Ngoja nikwambie kitu!Khaah wew hii kali aseee,, hatakama ni matope utakula nae😄,,nikufundshe jinsi ya kumpata kwamba hutongozwi😳😳
ndugu wewe,,hakuna cha muhimu nachofanyiwa kwenye haya maisha,,ila ni for the sake of ur future,,na uzur tatizo umeliona litapelekea ukose mtoto baadae.Ngoja nikwambie kitu!
Unachoona unafanyiwa wewe kwenye maisha, usidhani na Kila mtu anafanyiwa, natongozwa sana na waume za watu na Wana pesa haswa, ndo nizae na hao?!