Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Sasa mimba utapata bila kufanya mapenzi?Yeye hajauliza mimba, ameuliza ashki, hayupo serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mimba utapata bila kufanya mapenzi?Yeye hajauliza mimba, ameuliza ashki, hayupo serious
duuuh pole sana,,,kama ni wa kutolewa nenda hospital.Sijawahi kutumia uzazi wa mpango
Ndugu yangu kuzaa hukurupuki,Hakuna wa kujali
Unajua wakati mwingine ukifatilia Sanaa jambo linakuwa kubwa Sanaa akili zetu huwa zinaunda matatizo hata ambayo hayapo. Ajaribu kuzaa ikishindikana ndo arudi hapa apewe ushauri mwingine lasivyo atafanyiwa operation za kutosha mwisho wamtoe na kizazi chenyewe
. Cm 10 ni kubwa hivyo operation inahitijika.Habari zenu ndugu zangu.
Mimi ni binti wa miaka 26, sijaolewa na Sina mtoto.
Mwaka Jana nilisumbuliwa sana uvimbe kwenye mayai mpaka ikapelekea kufanya upasuaji nikiwa na matumaini nimepona.
Ila sasa umerudi tena, na unakua kwa kasi, sasa nna uvimbe wa Centimeter 10, daktari wa wanawake amenambia nifanye tena upasuaji.
Sasa kama nilifanya umerudi nahofia utarudi tena,
Kama Kuna mtu anajua suluhisho ya hili naomba msaada hata wa tiba za asili.
namim pia nmekwambia,, mamangu katolewa kwa operation zaidi ya mara 2,,alijaribu kutumia njia m'badala lakini hazikusaidia bali ulizid kukua na kutumia damu yake😄 akaanza kuishishwa damu,anaanguka tu, hawez kutembea umbali mrefu,kupanda mlima hawezi,,kwenda hospital anatolewa minyama inakilo za mtoto.Kama umesoma vizuri, nilishotolewa umerudi tena so naomba ushauri wa njia mbadala
inakubid uzae tu dada kwasasa kama una hio nafasi mpendwa.Sijajipanga kuzaa sasa
Usifanye operation,ingia Instagram tafuta fertility _peekHabari zenu ndugu zangu.
Mimi ni binti wa miaka 26, sijaolewa na Sina mtoto.
Mwaka Jana nilisumbuliwa sana uvimbe kwenye mayai mpaka ikapelekea kufanya upasuaji nikiwa na matumaini nimepona.
Ila sasa umerudi tena, na unakua kwa kasi, sasa nna uvimbe wa Centimeter 10, daktari wa wanawake amenambia nifanye tena upasuaji.
Sasa kama nilifanya umerudi nahofia utarudi tena,
Kama Kuna mtu anajua suluhisho ya hili naomba msaada hata wa tiba za asili.
Huyu alikua na ovarian cyst au fibroids, maana ovarian cyst inakua na fluids ndani hizo nyama za wapi, kama fibroids inamaliza damu sana ndionamim pia nmekwambia,, mamangu katolewa kwa operation zaidi ya mara 2,,alijaribu kutumia njia m'badala lakini hazikusaidia bali ulizid kukua na kutumia damu yake😄 akaanza kuishishwa damu,anaanguka tu, hawez kutembea umbali mrefu,kupanda mlima hawezi,,kwenda hospital anatolewa minyama inakilo za mtoto.
. No way mkuu.. Ingekuwa cm3, ungetumia dawa.. Sasa cm10 ni kubwa sana.Kama operation nilishafanya na umerudi nitafanya mara ngapi ndugu
Umri umeshaenda huo .Sijajipanga kuzaa sasa
Fibroids nduguHuyu alikua na ovarian cyst au fibroids, maana ovarian cyst inakua na fluids ndani hizo nyama za wapi, kama fibroids inamaliza damu sana ndio
Nakazia 🔨. No way mkuu.. Ingekuwa cm3, ungetumia dawa.. Sasa cm10 ni kubwa sana.
. Nenda hospital za agakhani, ukakutane na watalaam.
. Ukifanikiwa, zaa mtoto.
Ndugu Asante kwa kunijibu!Umri umeshaenda huo .
Na bila shaka huo uvimbe unaosemea itakuwa ni uterine fibroid maana unachochewa na kama hivyo kuwa na low parity(kuzaa watoto wachache mfano mtoto mmoja) ,nulliparity(kutowahi kuzaa kabisa) ,hormonal imbalance kama vile higher level of oestrogen ,na mara nyingi kadri oestrogen inavyoongezeka na ka fibroid kana ongezeka.
Pia unavyozidi kuchelewa unakuwa kwenye risk kubwa ya mimba kutunga nje ya mji wa mimba (Uterus), hiyo misuli inakuwa inachoka inapelekea kupata cervical incompetence mimba zitaishia kutoka tu.
DR Mambo Jambo
dada,unachokula na mtoto atakula hali yako inaweza pelekea ukose mtoto baadae na ukiwa tayar unauhitaji,,unakosaje mwanaume wa kuzaa nae😳😳!!!!?Dah!
Dada unaweza kuzaa kama huna kazi na huna mtu wa kuzaa nae?!