Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsantePole, nadhani tatizo lako litaisha. Tahadhari. Watu wa dunia ya sasa hawana huruma na unapokuwa na shida wanaweza kukufilisi. Uwe na tahadhari sana kwa hawa watu wanajifanya kuwa na ujuzi wa dawa za asili. Wengi ni matapeli. Kama unataka kujaribu basi uwe na tahadhari na usikubali kulipa fedha nyingi. Ikiwezekana mwambie akupe utumie na ukipona ndiyo ulipe. Matapeli wengi wana maneno mengi sana na ahadi tamu tamu huku wakitoza gharama kubwa.
Cha kwanza uzae maana hapo last option huwa ni kutoa uzazi.Habari zenu ndugu zangu.
Mimi ni binti wa miaka 26, sijaolewa na Sina mtoto.
Mwaka Jana nilisumbuliwa sana uvimbe kwenye mayai mpaka ikapelekea kufanya upasuaji nikiwa na matumaini nimepona.
Ila sasa umerudi tena, na unakua kwa kasi, sasa nna uvimbe wa Centimeter 10, daktari wa wanawake amenambia nifanye tena upasuaji.
Sasa kama nilifanya umerudi nahofia utarudi tena,
Kama Kuna mtu anajua suluhisho ya hili naomba msaada hata wa tiba za asili.
Na unadhani usipojali afya yako, nani atajali mwingine..?Mi ndo hata sifatiliagi haya mambo.. period nachelewa hata siku7
Na spot bleed lakini huta kujali sijali mana hata nikijali ela ya kujiunguza sina liwalo na liwe!!
Nashukuru kwa kunikumbusha my dear...
WooohNjoo unimalize wewe.
Hakuna wa kujaliNa unadhani usipojali afya yako, nani atajali mwingine..?
Shida inaanzia hapo.Hapana
Kuwa serious mkuu mtu yupo ktk serious condition, hii mizaha yenu pelekeni chit chat au jukwaa la mapenzi.dah kwahiyo hashiki zako unazimalizaje??
out of topic
Ni swali la msingi hilo .Kuwa serious mkuu mtu yupo ktk serious condition, hii mizaha yenu pelekeni chit chat au jukwaa la mapenzi.
Mara ya mwisho nimeonana na gynaecologist hospital kubwa tuh hapa dar na hajasema chochoteShida inaanzia hapo.
Nenda kwenye hospitali kubwa usiishie zahanati ,kwenye level ya zahanati kwa settings zilizopo hicho kipimo hawafanyi .
Ukifika hospitali kubwa sidhani kama kuna daktari at skip ku order kipimo cha hormone panel test (Hormone Assay) ili ku rule out hormone imbalance.
Sijawahi kutumia uzazi wa mpangoduuuh,,unatumia njia gani ya uzazi wa mpango!?,,ingawa sio wote ila wengi vidonge vimewasababishia uvimbe....na mbaya zaidi unatabia ya kujirudia,, mamangu wamemtoa mara mbili tayar na kaambiwa umeanza tena,,na yanakua kama kiumbe hai aseeee.
Ulionana naye na hajasema chochote una maanisha nini?Mara ya mwisho nimeonana na gynaecologist hospital kubwa tuh hapa dar na hajasema chochote