Ujue nlitaka kujichanganya hapa almanusura ntume picha yanguππbaada ya kusoma mada ndo nikaelewaMpaji Mungu piga picha fasta utumeπ€£π€£π€£
π€£π€£π€£ Tuma basi.Ujue nlitaka kujichanganya hapa almanusura ntume picha yanguππbaada ya kusoma mada ndo nikaelewa
Wazee wa kutunza risiti watu nane wapo hapa waambie watoke ubaki mwenyewe nishushe tuvitu vitu twa vakeshenπ€£π€£π€£ Tuma basi.
π€£π€£π€£ Halafu huu unaa sijui jf walitoka nao wapiπWazee wa kutunza risiti watu nane wapo hapa waambie watoke ubaki mwenyewe nishushe tuvitu vitu twa vakeshen
Hii ndo nzuri sasa sio unabebika na mtoto wa mtu kumbe Kuna mijitu inasoma kimya kimya, saiv ukiona idadi ya watu Kuna namna kkaustaarabu katakwepoπ€£π€£π€£ Halafu huu unaa sijui jf walitoka nao wapiπ
IngevutiaMpaji Mungu piga picha fasta utumeπ€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£Hii ndo nzuri sasa sio unabebika na mtoto wa mtu kumbe Kuna mijitu inasoma kimya kimya, saiv ukiona idadi ya watu Kuna namna kkaustaarabu katakwepo
Tatizo huyo mwali alienitagππ
Sasa picha yako ya nini mkuuππ
Piga picha katarasi hilo lenye mashartu
Nishakumis mpaka basi hapa πππππππ!