Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue nlitaka kujichanganya hapa almanusura ntume picha yangu😂😂baada ya kusoma mada ndo nikaelewaMpaji Mungu piga picha fasta utume🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Tuma basi.Ujue nlitaka kujichanganya hapa almanusura ntume picha yangu😂😂baada ya kusoma mada ndo nikaelewa
Wazee wa kutunza risiti watu nane wapo hapa waambie watoke ubaki mwenyewe nishushe tuvitu vitu twa vakeshen🤣🤣🤣 Tuma basi.
🤣🤣🤣 Halafu huu unaa sijui jf walitoka nao wapi🙆Wazee wa kutunza risiti watu nane wapo hapa waambie watoke ubaki mwenyewe nishushe tuvitu vitu twa vakeshen
Hii ndo nzuri sasa sio unabebika na mtoto wa mtu kumbe Kuna mijitu inasoma kimya kimya, saiv ukiona idadi ya watu Kuna namna kkaustaarabu katakwepo🤣🤣🤣 Halafu huu unaa sijui jf walitoka nao wapi🙆
IngevutiaMpaji Mungu piga picha fasta utume🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Hii ndo nzuri sasa sio unabebika na mtoto wa mtu kumbe Kuna mijitu inasoma kimya kimya, saiv ukiona idadi ya watu Kuna namna kkaustaarabu katakwepo
Tatizo huyo mwali alienitag😀😀
Sasa picha yako ya nini mkuu😀😀
Piga picha katarasi hilo lenye mashartu
Nishakumis mpaka basi hapa 😌😌😌😌😘😘😘!