Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila C 3 huelewi🤣🤣Kuna gesti moja hivi niliingia sina hili wala lile walikuwa wameandika
"usikate gogo humu" afu kuna choo ndan
Dah🤣🤣Story uzipendazo
Me na woooii tena, 🤔Kipindi cha ujana niliwahi kulala lodge moja hulo katavi, kumbe next room kuna mchungaji.
Sasa kimwana nliekua nae alikua kafungiwa spika ya JBL kwenye koo, kila ukitupia kombora lazma apige vigelegele, maskini mchungaki akaenda kaunta kulalamika. Asalaleee saa ngapi nsipigiwe simu chumbani kua kelele zimezidi...
Wooi, ikashindikana.
Asubuhi natoka nje naskia wale mabinti wanatuongelea huku wakininyooshea vidole.
NKawasogelea nkawaambia si ni laifu.
Nkawapa dasi wakanywe chai ghafla shukrani zikawa nyingi. Hakukua na simu tena.
GOod old times
🤣🤣🤣🤣Mkiingia jinsia tofauti muwe na cheti cha ndoa. Nikasema kulalaleki kwa bongo nayoijua hii lodge mtafugia kuku wa nyama.
Mpaji Mungu piga picha fasta utume🤣🤣🤣Mlioko lodge muda huu rukeni live basi😀
Naomba picha basi