HarmonizeWamakonde kuweni wa kwanza kunijibu basi, mbona mmekausha tu?!!
Sio chilamba chavene bali ni chilambo cha vene yaani dunia ni yawenyeweMnaofahamu naomba mnijuze tafadhali!
Walipatana hao watu kwenye hicho kibao si mchezo.
Pia ni nani alikuwa analizimua lile goma pale mwishoni walipoanza kuimba kwa kimakonde?
R.I.P Tongolanga, kwangu utabaki kuwa mwanamuziki bora daima.
-kila munu avena kwao
-chilamba cha vene
-sanura
-baba na mama
Acha kabisa!!!
Asilimia 90% wamakonde ni waislamu sasa watakulaje haramu? Usiandike mambo bila utafitiNgoja wamalize kula chamaki nchanga watakujibu
Sasa wewe mnachihangu na mmakonde wapi na wapi hebu toa upumbavu wakoAsilimia 90% wamakonde ni waislamu sasa watakulaje haramu? Usiandike mambo bila utafiti
Wewe hivi unajua jina la mnachihangu ni lakimakonde? Huyo tongolanga kwao ni kijiji cha mchichira naifahamu vizuri familia yao kuanzia mama yake na karibu ndugu zake ambao wapo mchichira na mnyawa...mimi ni mmakonde na hilo mnachihangu ni jina la ukoo wetuSasa wewe mnachihangu na mmakonde wapi na wapi hebu toa upumbavu wako
Wamakonde asilimia 90% ni waislamu ukikuta wakristo kama alivyo mzee mkuchika,lawi sijaona na yule marehemu ambae alikuwa mkurugenzi wa kule korogwe sijui lushoto aliyekiitwa kwame daftari hao vijiji vyao ndivyo wamisionari walifikia kama nambuga,mnyambe na chihangu huko ndiko kulikuwa na wakristo ila kwasasa sio wengi tena waislamu wameshatawala tayariSasa wewe mnachihangu na mmakonde wapi na wapi hebu toa upumbavu wako
Ndio maana umaskini haushi na maendeleo hamunaWamakonde asilimia 90% ni waislamu ukikuta wakristo kama alivyo mzee mkuchika,lawi sijaona na yule marehemu ambae alikuwa mkurugenzi wa kule korogwe sijui lushoto aliyekiitwa kwame daftari hao vijiji vyao ndivyo wamisionari walifikia kama nambuga,mnyambe na chihangu huko ndiko kulikuwa na wakristo ila kwasasa sio wengi tena waislamu wameshatawala tayari
🤣🤣🤣🤣Ngoja wamalize kula chamaki nchanga watakujibu
Kabisa, kile ni kipaji haswaaMoja ya wamakonde niliokubali kazi zao za sanaa, ukijumlisha na MAPEMBE.
Huyu KONDE BOY anajua sanaa, ila kichwani ni mbili kasorobo.
Hebu nenda kachochee maharage jikoni wewe, bado u-mtoto mnoHarmonize
Oh, kumbe. Ahsante sana!Sio chilamba chavene bali ni chilambo cha vene yaani dunia ni yawenyewe
Aisee hebu, kama hautojali, naomba sana unieleze kidogo kuhusu yeye tafadhali..Wewe hivi unajua jina la mnachihangu ni lakimakonde? Huyo tongolanga kwao ni kijiji cha mchichira naifahamu vizuri familia yao kuanzia mama yake na karibu ndugu zake ambao wapo mchichira na mnyawa...mimi ni mmakonde na hilo mnachihangu ni jina la ukoo wetu
Marehemu BANZA STONE, mwalimu wa walimu aliimba bora ukose mali kuliko akili.Kabisa, kile ni kipaji haswaa
Konde boy kuvamia mji kunamzuzua....anakuwa mjinga mjjnga tu.
🤣🤣🤣Marehemu BANZA STONE, mwalimu wa walimu aliimba bora ukose mali kuliko akili.