maukijunior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 233
- 366
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mademu mnachotafuta mtakipata,,,Naukumbuka huo uzi niliweka picha zake zile za zamani za 2014 alivyokuwa wa kawaida FLAT Screen....Jana nimeenda kuangalia kafuta Zote kabakiza za 2017 baada ya kujidunga SILICONE.
Check Picha Alipiga July 2016 Alivyokuwa Flat Screen ila baada ya Mwaka Kafutuka Hips na Tako kama Lote.
View attachment 955430
Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5 - JamiiForums
Na mimi nna moyo wa nyama sio chuma ahhhahhaahaaahhhaNaona shekhe masoud mate yamekutoka mufti.
Kawa abnormal kwa kuiga hips halina uwiano na inye.Hahahahahsh nimecheka sana aisee .
Huyu demu role model wake lazima wawe wale american strippers and porn stars akina Bunz4verv na kina Victoria cakes
Nakaa nao sana huko kaskazini.We jamaa yangu utakuwa mpare ......mvuti na kishi.....ah ah
Ukimcheki mama yake ni kama ana asili ya kitutsi...
Hahahahaha mwalimu mzuri alikuwa nani mzee
Pale Camp madam kimani au nani
Au wewe wa iyunga ya enzi zipi
Wanaume wa Jf asilimia kubwa mnapenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila akija shoga yenu mmoja kuponda wanawake wenye makalio...basi mashoga wooote mnajazana kwenye uzi wake kuwaponda wenye makalio wakati kutwa mko nasi Pm kuomba kutuona misambwanda yetu.
Mtapata tabu sana.
Napenda hicho ki portable
Ndio huyu hapa??View attachment VID-20181210-WA0007.mp4K
Huyu si ndio kagraduate hapo IFM juzi degree ya Insurance and Risks management! Watu wamemtumia na wamempaisha sana. Anajivynia kuwa mwanafunzi pekee chuoni hapo anayemiliki Iphone X tena mbili kwa mpigo
Ahahhahha asitutisheeeeeee.Ndio huyu hapa??View attachment 967481
Yuko vzr kumbe naona sports car hapo
AiseeKahojiwa juzi kasema anamiliki harrier hiyo itakuwa alikodi kwa ajili ya graduu
Mkuu wanawake wenye shepu kali ni wakufaya nao starehe sio wa kuwaowa.