Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

Umenigusa kaka,sijui baba au babu unaweza kuwa kwangu.ndugu mshana jr na nyuzi zako nying nazisoma sana na kujifunza.kwa huu wa leo umeongelea kitu na umri ambao naupitia na vitu vinanisumbuaga sana ni ivo ulivyovitaja kam confidence,mahusiano na kukata tamaa.kuanzia leo i will be brave and look forward up to my age of 30's years.thanksss
Asante sana
 
Hii hata sisi wazee imetu bamba.thumb up mshana.kuna jamaa yangu ananyimwa unyumba,sasa si kasema ataanza pnyto?sijui itakuwaje.dunia hii
 
Back
Top Bottom