Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

Ushauri mzuri sana na hii ni reality

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu asante kwa madini mazuri.. Natamani ungetoa somo la aina kama hii kwa mara nyingine, inasaidia ku lift our spirits na kujiona tunayopitia ni sehemu ya kawaida ktk maisha na inatufanya tusi panick
[emoji123][emoji120][emoji106]

Jr[emoji769]

silent_ocean
 
Mkuu asante kwa madini mazuri.. Natamani ungetoa somo la aina kama hii kwa mara nyingine, inasaidia ku lift our spirits na kujiona tunayopitia ni sehemu ya kawaida ktk maisha na inatufanya tusi panick

silent_ocean
Tuombe heri nitafanya hivyo tukijaaliwa[emoji120][emoji120][emoji120]

Jr[emoji769]
 
Vijana wengi tunasahau kua kujenga ni kazi ila kubomoa ni rahisi.

Hivi fikiria fikta, mtazamo na maadili uliyojengewa na wazazi wako Pamoja na juhudi zako binafsi kwa 25yrs yana kuja kuporomoshwa na bwege mmoja mliokutana naye ndani ya wiki mbili tu.

Jamaa anakushauri kwa kutishia ‘ Mwanaume gani hata ganja huvuti?’ anakuambia wanaume hatupo hivyo! Na ww unaona jamaa atakudharau unaanza ganja na unga within short time umekwisha.[emoji12]
 
Big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…