Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

Unajua tunawafaidisha sana wauza viagra kwa tatizo ambalo halipo na kinyume chake ndio tunaanzisha tatizo
Pamoja na ukweli kwamba kuna wenye matatizo genuine ya weak erection na early ejaculation lakini kwa sehemu kubwa ni woga na mbinyo wa mawazo ndio husababisha hii hali
 
imekaa vizur but kuna ka uselfish namna flan...uwezo wa kulidhisha mtu!!! 20-29 hana uwezo wa kumpandisha mtu mlima?...kuzoea mahusiano ni umri? au xperience na namna mhusika anavyoyachukulia mahusiano....maana kuna watu wazima/30+ wanalia lia kama kinanda cha kigango.

Goood for number 4.
 
imekaa vizur but kuna ka uselfish namna flan...uwezo wa kulidhisha mtu!!! 20-29 hana uwezo wa kumpandisha mtu mlima?...kuzoea mahusiano ni umri? au xperience na namna mhusika anavyoyachukulia mahusiano....maana kuna watu wazima/30+ wanalia lia kama kinanda cha kigango.

Goood for number 4.
Nilichoandika ni general overview ambayo ndani yake hakukosekani casualties....lakini nitajitahidi kujibu pale itakapotokea ufafanuzi wa kina ukihitajika
 
hivi ndivyo social media inapaswa kutumiwa ...hongera sana mzee mwenzangu ushauri wako nimeupata umeniongezea kitu kikubwa sana....NAKUOMBEA MAISHA MAREFU NAKUTAKIA AMANI NA BARAKA
 
namba 3 uongo kwa kuwa vibabu mnapenda vibinti so unahalalisha ...35 kwa 21 si ubakaji ...je unazungumziaje mwanamke mwenye umri mkubwa halafu mwanaume umri mdogo ..so love haina umri siku zote ukija kuangaliaa na kutathimin
 
namba 3 uongo kwa kuwa vibabu mnapenda vibinti so unahalalisha ...35 kwa 21 si ubakaji ...je unazungumziaje mwanamke mwenye umri mkubwa halafu mwanaume umri mdogo ..so love haina umri siku zote ukija kuangaliaa na kutathimin
Sijazungumzia love wala ubakaji nimezungumzia tendo la kufanya ngono na uzoefu wake
 
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika). Naongelea mabadiliko ya makuzi kihomoni, kimtazamo, kimahusiano na kifikra pia.

Kwanza lazima niwapongeze kwa uamuzi wenu wa hiari wa kuachana au kutoka kwenye mitandao mingine isiyo na faida wala tija na kuja kujiunga JF(JamiiForums) penye kisima cha maarifa, ujuzi na hata ushauri.

Niwapongeze pia wengi wenu kwa kuwa wawazi kwa yale mnayopitia, wengi wenu hamfahamu kuwa ni sehemu ya makuzi hivyo kujaa hofu na woga mwingi hasa kwenye maeneo haya;

1. Haiba - hapa kila mmoja anajitahidi awezavyo ili aonekane wa kisasa kwa mavazi lugha na hata mikogo mingineyo, kukosa baadhi ya hivyo vitu husababisha maumivu makubwa sana bila kutambua kuwa wakati wako wa kupata bado

2. Ukakamavu/confidence ya kuongea na hadhira au jinsia tofauti, hapa ni kimbembe, wengi hujichukia na kujistukia na hivyo kusababisha kujitenga na jamii muda mwingi kwa kudhani wengine wanajiona bora au ni mahiri kuliko wao! Hiki ni kipindi tu na kitapita lakini siri ya kuongea na hadhira ni kutowaangalia watu machoni bali kuwaangalia juu ya macho yao kwenye paji la uso.

3. Mahusiano kipengele hiki ni muhimu sana na hapa namaanisha kwenye ishu nzima ya kufanya mapenzi. Asikudanganye mtu, mapenzi utayajua baada ya kuvuka miaka 30, hapo utakuwa umewazoea na kuwafahamu wanawake na utakuwa huna hofu tena. wengi sana hapa wanalalamika kukosa nguvu au kumaliza haraka hii yote inaletwa na hofu na mara nyingi kudate mpenzi ambaye tayari keshakutana na wataalam, usitegemee kamwe katika miaka yako 26 umridhishe mwanamke wa 18-23 atakuwa anakuibia tuu.

2f86b25967a46f4e7000116a585bef02.jpg


Mabinti wengi below 25 wapenzi wao ni 35+years. Hapo huwezi weka ligi.
Kinachowatisha wengi ni story za wanawake kufikishwa kileleni au kupiga show 30 nonstop wakati wewe dak5 nyingi. Usihofu, muda wako bado, wewe bado mchanga hujakomaa.

Lakini vile vile kuna wakati maungo yako huhitaji mapumziko. Hii hutokea yenyewe automatically, ndio maana kuna wakati unakuwa na ashiki sana na kuna wakati unakuwa kama hanithi. Usitishike, jitahidi mazoezi, epuka vyakula vya mafuta na makopo, jizuie kadiri uwezavyo kupiga punyeto labda mpaka uzidiwe sana.

7a426246fd98a6d03e3c266e7e110d6a.jpg


4. Uko kwenye kipindi cha kuingia ukubwani, kwahiyo akili ya kiutu uzima inafunguka, hii hali huja na side effects kama za mama mjamzito. Hasira za ghafla, kukata tamaa, kulia au kutamani kulia, kuzira, kujitenga, kuwa mtu wa mawazo muda mwingi ni vitu visivyoepukika.

Hapa ndipo unapojishape kuwa wewe wa kesho, kwahiyo jitahidi sana yanapokutokea haya usiyaendekeze, vijana wengi huwin na kushindwa hapa. Ukiyapuuza na kusonga mbele mafanikio yako yataanzia hapo, utayachukulia kuwa ndio sehemu ya maisha yako, kushindwa kwako kutaanzia hapo.

Kama bado uko below 30 usiangalie mwili ulionao bali jipange kwa kuwa hii ndio hatua muhimu ya kuwa wewe wa kesho. Mustakabali wako umeubeba mwenyewe.

decdd0ee21928acc5bbf4b8eefe0b405.gif
Nashukuru kaka@mshana jr
 
Sijazungumzia love wala ubakaji nimezungumzia tendo la kufanya ngono na uzoefu wake
okay ila nataka nikuambie mfano mim am 26 ila katika tendo kufanya na uzoefu na mzidi hata wa 40.. so wazee naweza kusema wanauzoefu wa miaka ming ila weng waooffff mfano kuna siku mzee kaja kununua viagra phamacy na kuna mwingine ni 37 above nae vilevile so mazingira yanaplay nafasi ..ungesema kuhusu hela wenye umri mkubwa ndo wana pesa sana na ndio pride yao inayotufanya vijana tuonekane ktk mapenz bado but sio ivo kwa wote labda wa dsm njoo mikoani ujue maisha yakoje vijana wako vema japokuwa money empty
 
Back
Top Bottom