Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,995
Naomba kujua kiundani kisiwa Cha Mafia.
Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya hicho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.
Vipi gharama za maisha zikoje? Na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?
Je mitandao ya simu inapatikana?
Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya hicho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.
Vipi gharama za maisha zikoje? Na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?
Je mitandao ya simu inapatikana?