Nakazia hiiWake za watu ajiepushe nao. Mamwinyi hawana utani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia hiiWake za watu ajiepushe nao. Mamwinyi hawana utani
Karibu Mafia.. Nilijibu kwa uzoefu kulingana na swali na kiwango cha ufahamu wangu[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Hayo Mambo yapo kila mahali, Kama hali ingekuwa mbaya Basi tungekuwa tushayasikia
Acha kutisha watu wewe..Wake za watu ajiepushe nao. Mamwinyi hawana utani
Wengi wenyeji au wazawa wa maeneo ya pwani ndio wanaweza ishi huko..Why wapakimbie kwa halii hii hospitali na Shule za uko si zitakosa wafanyakazi
Ndio ugonjwa wangu.ngisi na nazi tu.
Kapangiwa sehem ganUko majanga
Hata cha kuraKama mtimu huna kitambulisho Cha taifa ndo husafiri
Dada una maswali ya kitoto sana.Naomba kujua kiundani kisiwa Cha mafia.
Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya icho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.
Vipi garama za maisha zikoje? na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?, Je mitandao ya simu inapatikana?
Mmakonde. Pamenyata kuliko kwenu Newala?Kumenyata sana..watumishi wengi ambao sio wazawa wanapakimbia sana huko.
Uswahili mwingi sana.
#MaendeleoHayanaChama
hata mambo ya ushirikina gogle itasoma etDada una maswali ya kitoto sana. Yaani unajua kuna JF lakini hujui kuhusu google map wala google as a search engine.😃😃😃😃
Eti unauliza kama mtu anaenda kazini anapanda boti? Hivi walio Unguja wakiwa wanaenda kazini wanapanda boti?
Eti kuna mitandao ya simu? Hivi Mafia unavyodhani ni kisiwa kama kijiji? Ni Wilaya nzima ile ujue.
Sijui elimu uliyosoma miaka mingi imekusaidia nini? Ufanye mambo 2:
1. Ukadai ada zako shuleni kwa sababu hujaelimika.
2. Umuombe radhi baba/mama yako kwa kupoteza pesa zao kwa sababu shule wamekufunza vitu vizuri na uligoma kabisa kuelemika
Pathetic.
Daah hii dunia ngumu Sana kweli ajikwezaye hushushwa yaani ulichoandika kinakutafsiri Kama mshambaDada una maswali ya kitoto sana. Yaani unajua kuna JF lakini hujui kuhusu google map wala google as a search engine.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Eti unauliza kama mtu anaenda kazini anapanda boti? Hivi walio Unguja wakiwa wanaenda kazini wanapanda boti?
Eti kuna mitandao ya simu? Hivi Mafia unavyodhani ni kisiwa kama kijiji? Ni Wilaya nzima ile ujue.
Sijui elimu uliyosoma miaka mingi imekusaidia nini? Ufanye mambo 2:
1. Ukadai ada zako shuleni kwa sababu hujaelimika.
2. Umuombe radhi baba/mama yako kwa kupoteza pesa zao kwa sababu shule wamekufunza vitu vizuri na uligoma kabisa kuelemika
Pathetic.
Ni kama Zanzibar mkuu,kila mgeni anajulikana na asilimia 99.9% ni Waislamu kwa hiyo mwezi kama huu ni shida kwa makobe.Naomba kujua kiundani kisiwa Cha mafia.
Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya icho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.
Vipi garama za maisha zikoje? na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?, Je mitandao ya simu inapatikana?