Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hunijui sikujui. Nimekariri kitu gani? Don't judge a book by it's cover. Ni kawaida ya wagonjwa wa akili kuona wenzao watu wengine wana matatizo.Wewe jamaa una matatizo sana. Pia ni mtu wa kukariri kariri tu
Majungu ndio chachandu la mswahili.Hivyo vipo bali udini uswahili na majungu pia vipo sana
Kama wa kiume mwambie kichupa kitampuliza unless akubali kupita njia ya mlango wa uwani
Nikitoka mbeyaUkiwa na mawazo hayo hutatusua
Utabakia kuwa muoga na kubakia mjini na wavaa tai wanangojea mshahara mwisho wa Mwezi, mipango wanapanga mingi utekelezaji zeroooo
Nenda huko ukajifunze fursa ya biashara ya samaki, mwani, nazi etc
Achana na watoto wa kutoka vyuoni watakuchelesha
Kuna wabongo wanaenda Somalia kuhangaika sembuse Mafia
Ova
Hakuna vyote hivyo na gharama za maisha sawa na za Tokyo.Naomba kujua kiundani kisiwa Cha Mafia.
Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya hicho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.
Vipi gharama za maisha zikoje? Na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?
Je mitandao ya simu inapatikana?
Kweli sasa nimeumia kwa nini serekali yetu imezuia bange!Hakuna vyote hivyo na gharama za maisha sawa na za Tokyo.
Kweli sasa nimeamini kwa nini serekali yetu imezuia bangeHakuna vyote hivyo na gharama za maisha sawa na za Tokyo.
Mafia ipo.Kweli sasa nimeamini kwa nini serekali yetu imezuia bange
NAKAZIA.Dada una maswali ya kitoto sana.
Yaani unajua kuna JF lakini hujui kuhusu google map wala google as a search engine.
Eti unauliza kama mtu anaenda kazini anapanda boti?
Hivi walio Unguja wakiwa wanaenda kazini wanapanda boti?
Eti kuna mitandao ya simu? Hivi Mafia unavyodhani ni kisiwa kama kijiji? Ni Wilaya nzima ile ujue.
Sijui elimu uliyosoma miaka mingi imekusaidia nini? Ufanye mambo 2:
1. Ukadai ada zako shuleni kwa sababu hujaelimika.
2. Umuombe radhi baba/mama yako kwa kupoteza pesa zao kwa sababu shule wamekufunza vitu vizuri na uligoma kabisa kuelemika
Pathetic.
Huu uandishi wako mleta uzi....!!!Haaa kwa hiyo watoto wa uk ni vipaza
[emoji419]Sehemu zote zilizokaliwa na waarabu na wenyeji kuachiwa dini ya mnyaazimungu.
Jamii hizo nyingi ni duni sana..hazijaelimika..zinaamini ushirikina na majini.
Umasikini wa kipato na kiakili umetamalaki sana.
#MaendeleoHayanaChama
Kumenyata sana..watumishi wengi ambao sio wazawa wanapakimbia sana huko.
Uswahili mwingi sana.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe pia ni mkabila na mdini mkubwa.website ya serikali nimekuwekea, majibu yote yapo hapo... ukiona hapakufai una acha kazi bosi, waacheni watu na maadili yao na ustaarab wao... endeleeni kukaa na wamasai walio starabika na kuelimika huko mapolini