Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si uache kazi ukalime huko usukumani kwenuMbona ni hatari,,, Basi hii sehemu sio nzuri ya kwa raia wangeni kuishi, na kwa mkristu ataishije
Naam, mimi ndiye, vipi shoga Kidawa una swali wataka uliza?We ndo yule mke wa Diwani?
Yeye kazungumzia Kisiwa cha Mafia, sio visiwa vya Mafia. Tuongee mimi na wewe. Unazungumzia nn, Mafia as an archipelago?Sasa wewe kwanini ulijibu bila kuja anazungumzia nin?
Unapata maumivu ukiwa wapi?This is very irrelevant. Wewe ndiye unatakiwa ukadai ada yako.
Ng'ombe wewe na ujuha wako mbovu wa kushindwa kuwasilisha kile unachokihitaji katika maelezo yaliyonyooka.Ngombe kabisa Sasa Google map ingenipa details nilizopata hapa
SawasawaK
Mafia kuzuri sana dada yangu,
- Watu wa Mafia nzima wanafahamiana
- Dhuruma hakuna
- Dereva wa gari la serikali asipokupa lift, kamsemee kwa diwani, kesi itafika baraza la madiwani hatua zitachukuliwa dhidi yake
- Watu wa Mafia hawana makuu, ukikosea omba msamaha yanakwisha hawana malipizi
- Mambo ya kupigana fimbo ati umekula mchana hayapo
- Watu wa mafia wanaishi kwa uaminifu sana, ukiwa huna pesa watakukopesha tu ila uwe mwaminifu kurudisha kwa wakati
- Ukiishiwa ukaenda kwa jirani atakusaidia na hakuna masimango siyo kama Kwamtogole Dar
- Hakuna polution, hewa ni clean
- Ukitaka kwenda airport huna haja ya taxi, ni bajaj tu au miguu yako maana haiko mbali
- Kwa ndege Mafia to Dar ni 30 minutes umefika
- Upana wa kisiwa ni takribani Km 19 na urefu Km 70
- Kiukweli kile ni kisiwa cha amani
Halafu kuna mtu anahoji google map ingemsaidia nn?Kumbe ni kisiwa kikubwa tu.
Km 70 ni Sawa na kutoka mwenge Hadi bagamoyo
Wewe huna akili tu. Hilo halina ubishi. Wilaya zote kwenye website ya serikali zipo na maelezo. Huku ungekuja kutafuta maelezo ya ziada tu.....tunarudi pale pale, unajua kuna JF lakini hujui google as a search engine pendwa sana.Ngombe kabisa Sasa Google map ingenipa details nilizopata hapa
YepHaaa kwa hiyo watoto wa uk ni vipaza
Uhuni kusema ukweli, ulikuwa hujuwi kuwa Mafia wakazi wake hawajasoma? Nimeishi kule miaka 4 nikifanya kazi almashauri, nenda kajionee mwenyewe usibishe tu kutafuta audience.Asilimia kubwa hawajasoma ni asilimia ngapi?
Utafiti wako uliufanya ukiwa kwenye mdomo wa mto gani?
Ulichukua sample ya watu wangapi?
Acheni mambo ya kihuni
Wewe jamaa una matatizo sana. Pia ni mtu wa kukariri kariri tuUnapata maumivu ukiwa wapi?
Umewahi kusoma critical thinking and argumentation? Any idea?