Kutumia tigoKul
Kula jicho ndo kitu gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutumia tigoKul
Kula jicho ndo kitu gani mkuu?
Nenda peke yako huko....kule ni unafiki mtupu tu na wakazi wa kule zaidi ya kuvua samaki wanaridhika na kukaa tu na kunywa kahawa na kashata kujifanya mamwinyi.Naomba kujua kiundani kisiwa Cha mafia.
Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya icho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.
Vipi garama za maisha zikoje? na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?,
Je mitandao ya simu inapatikana?
kuna shughuli za utalii... kuna hotel ya gharama kubwa kuliko zote TZ...Nenda peke yako huko....kule ni unafiki mtupu tu na wakazi wa kule zaidi ya kuvua samaki wanaridhika na kukaa tu na kunywa kahawa na kashata kujifanya mamwinyi.
Dooh🙄Kutumia tigo
Ajifunze kutembea njia zote mbili
Duh!Kutumia tigo
Mkuu google inatoa High level sana, mambo ya ndani kabisa google hainaga majibu mkuu; Humu kuna watu wanaishi huko au wameshawahi kuishi au wana ndugu zao, hivyo wana real experiences.Yaani unajua kuna JF lakini hujui kuhusu google map wala google as a search engine.
Duh!
Mbona wanasema 'dini ya haki' imetamalaki huko, inakuwaje kunakuwa na maovu hayo tena!!!
Why wasema hivyoameajiliwa kama afisa mashamba? maana kama angekuwa mwalimu au mtumishi wa afya usingeuliza hayo maswali? kisiwa cha mafia ni kidogo kina fikika kila konaa... ndege zipo... watalii wa kumwaga... kisiwa kizuri sanaaaaaaa...
www.mafiadc.go.tz
Ni kama Zanzibar, kule ufirauni si mchezo.Duh!
Mbona wanasema 'dini ya haki' imetamalaki huko, inakuwaje kunakuwa na maovu hayo tena!!!
Asilimia kubwa hawajasoma ni asilimia ngapi?Asilimia kubwa ya wakazi wa kule hawajasoma zaidi ya kwenda madrasat tu, hivyo kama una watoto ama huyo mdogo wako ana Watoto na anataka wasome basi awaache huko huko anakosihi aende Mafia yeye tu peke yake.
Uko sawa kabisa..bora familia aiache hata kibiti...aende huko akapige kazi yeye..sio sehemu salama kwa makuzi ya watoto..uswahili mwingi wengi hawana elimu wanaamini ushirikina.Asilimia kubwa ya wakazi wa kule hawajasoma zaidi ya kwenda madrasat tu, hivyo kama una watoto ama huyo mdogo wako ana Watoto na anataka wasome basi awaache huko huko anakosihi aende Mafia yeye tu peke yake.
hachana na mambo ya watu... una enda ktk jamii yenye taratibu zake nawe una zako... muhimu kuheshimiana, fanya au tekeleza wajibu wako kama mtumishi na ishi maisha yako...Hujaona comments za hapo juu watu wameogopesha eti kwenye Ramadhani Kama we sio muislamu utajuta
Sehemu zote zilizokaliwa na waarabu na wenyeji kuachiwa dini ya mnyaazimungu.Asilimia kubwa hawajasoma ni asilimia ngapi?
Utafiti wako uliufanya ukiwa kwenye mdomo wa mto gani?
Ulichukua sample ya watu wangapi?
Acheni mambo ya kihuni
Wengi huwaonea wivu na kuwanyanyasa watumishi ambao sio wenyeji..na kunza kulialia kuwa wamekuja kuwatawala na kuchukua kazi zao..wakati jamii nzima wasomi hawafiki hata 10.hachana na mambo ya watu... una enda ktk jamii yenye taratibu zake nawe una zako... muhimu kuheshimiana, fanya au tekeleza wajibu wako kama mtumishi na ishi maisha yako...
website ya serikali nimekuwekea, majibu yote yapo hapo... ukiona hapakufai una acha kazi bosi, waacheni watu na maadili yao na ustaarab wao... endeleeni kukaa na wamasai walio starabika na kuelimika huko mapoliniWhy wasema hivyo
jamii nzima wasomi hawafiki kumi... maajabu haya...! mkuu historia ya mafia waielewa kweli mkuu? wapo wengi sana serikalini na katika mashirika kwa mfano WFP, FAO... tuache hawa wanao fahamika na wengi kama Balozi Dr. Ramadhani Kitwana...Wengi huwaonea wivu na kuwanyanyasa watumishi ambao sio wenyeji..na kunza kulialia kuwa wamekuja kuwatawala na kuchukua kazi zao..wakati jamii nzima wasomi hawafiki hata 10.
Akili finyu sana..wanajua kuozesha na kucheza watoto nothing more.
#MaendeleoHayanaChama