Naomba kupata taarifa kuhusu kisiwa cha Mafia

Naomba kupata taarifa kuhusu kisiwa cha Mafia

Hivi hakuna watu wanaokaa utende halaf ofisi zao za kazi zipo chole juani au jibondo?? Je wanatumia usafiri gani kwenda makazini kwao
Huyo jamaa Ni Mgombe
 
Naomba kujua kiundani kisiwa Cha mafia.

Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya icho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.

Vipi garama za maisha zikoje? na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?, Je mitandao ya simu inapatikana?
Nimewahi kufika huko japo nilikaa sikumoja tu cos nilienda kibiashara!

Mafia ni Wilaya lakini haijachangamka, Ukiacha Kilindoni ambapo ndo mjini kwao ambayo kwa Dar sawa na Chanika tu, Shule zipo but Local mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya wakazi wa kule hawajasoma zaidi ya kwenda madrasat tu, hivyo kama una watoto ama huyo mdogo wako ana Watoto na anataka wasome basi awaache huko huko anakosihi aende Mafia yeye tu peke yake.
Haaa kwa hiyo watoto wa uk ni vipaza
 
Shule ipo ya msingi, mawasiliano yapo
Mpaka mm natoka hapo jibondo zahanati ilikuwa hmna Sijui sahvi
Mimi jibondo nimekaa
We kama unaenda nenda kafanye kazi zako, fata kilichokupeleka tu

Ova
Imeisha iyo, na lazima uwe muislamu? Na kwenye Ramadhani wakristo wa uko wanaishije
 
Mwambie usafiri siku hzi kutoka nyamisati hadi mafia wanatoaka alasiri huko mafia watafika saa 12 au saa moja asisahau kitambulisho kitakachomtambulisha yeye ni mtanzania
Hivi sasahivi nasikia meli kila siku? Maana niliendaga mwaka 2020 meli ilikuwa juma 3, juma5 na ijumaa tu ila kabla ya serikali kuanza kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimtindo Mafia ni pagumu kwa mtumishi wa umma ambaye ni mgeni.
Huduma zote muhimu za kijamii zipo kwa maeneo ya katikati ya mji wa Mafia.
Changamoto za Mafia.
1. Usafiri wa kwenda au kutoka Mafia. (Sio wa uhakika sana)
2. Mgeni kuweza kujichanganya na wenyeji.
3. Magonjwa ya kuambukiza (kama Malaria, kuharisha).
4. Imani na vitisho vya kishirikina.

Eneo lolote ukiona watumishi wengi wa umma wanaogopa kupangiwa au wanajitahidi kuhama kila wakipangiwa, basi ujue lina shida kubwa.
Mbona ni hatari,,, Basi hii sehemu sio nzuri ya kwa raia wangeni kuishi, na kwa mkristu ataishije
 
K

Mafia kuzuri sana dada yangu,
  1. Watu wa Mafia nzima wanafahamiana
  2. Dhuruma hakuna
  3. Dereva wa gari la serikali asipokupa lift, kamsemee kwa diwani, kesi itafika baraza la madiwani hatua zitachukuliwa dhidi yake
  4. Watu wa Mafia hawana makuu, ukikosea omba msamaha yanakwisha hawana malipizi
  5. Mambo ya kupigana fimbo ati umekula mchana hayapo
  6. Watu wa mafia wanaishi kwa uaminifu sana, ukiwa huna pesa watakukopesha tu ila uwe mwaminifu kurudisha kwa wakati
  7. Ukiishiwa ukaenda kwa jirani atakusaidia na hakuna masimango siyo kama Kwamtogole Dar
  8. Hakuna polution, hewa ni clean
  9. Ukitaka kwenda airport huna haja ya taxi, ni bajaj tu au miguu yako maana haiko mbali
  10. Kwa ndege Mafia to Dar ni 30 minutes umefika
  11. Upana wa kisiwa ni takribani Km 19 na urefu Km 70
  12. Kiukweli kile ni kisiwa cha amani
Mbona watu wengine wananitisha eti Kama ni mgeni huwezi kuishi
 
Nimewahi kufika huko japo nilikaa sikumoja tu cos nilienda kibiashara!

Mafia ni Wilaya lakini haijachangamka, Ukiacha Kilindoni ambapo ndo mjini kwao ambayo kwa Dar sawa na Chanika tu, Shule zipo but Local mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakristo kuishi uko hakuna shida?
 
K

Mafia kuzuri sana dada yangu,
  1. Watu wa Mafia nzima wanafahamiana
  2. Dhuruma hakuna
  3. Dereva wa gari la serikali asipokupa lift, kamsemee kwa diwani, kesi itafika baraza la madiwani hatua zitachukuliwa dhidi yake
  4. Watu wa Mafia hawana makuu, ukikosea omba msamaha yanakwisha hawana malipizi
  5. Mambo ya kupigana fimbo ati umekula mchana hayapo
  6. Watu wa mafia wanaishi kwa uaminifu sana, ukiwa huna pesa watakukopesha tu ila uwe mwaminifu kurudisha kwa wakati
  7. Ukiishiwa ukaenda kwa jirani atakusaidia na hakuna masimango siyo kama Kwamtogole Dar
  8. Hakuna polution, hewa ni clean
  9. Ukitaka kwenda airport huna haja ya taxi, ni bajaj tu au miguu yako maana haiko mbali
  10. Kwa ndege Mafia to Dar ni 30 minutes umefika
  11. Upana wa kisiwa ni takribani Km 19 na urefu Km 70
  12. Kiukweli kile ni kisiwa cha amani
Ndege ya kukodi au bombadier?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama zipi?,

Uko ndani ndani Jibondo huduma Kama shule, hospital,Bank ,masoko zipo?
ameajiliwa kama afisa mashamba? maana kama angekuwa mwalimu au mtumishi wa afya usingeuliza hayo maswali? kisiwa cha mafia ni kidogo kina fikika kila konaa... ndege zipo... watalii wa kumwaga... kisiwa kizuri sanaaaaaaa...

www.mafiadc.go.tz
 
Dada una maswali ya kitoto sana.

Yaani unajua kuna JF lakini hujui kuhusu google map wala google as a search engine.

Eti unauliza kama mtu anaenda kazini anapanda boti?

Hivi walio Unguja wakiwa wanaenda kazini wanapanda boti?

Eti kuna mitandao ya simu? Hivi Mafia unavyodhani ni kisiwa kama kijiji? Ni Wilaya nzima ile ujue.

Sijui elimu uliyosoma miaka mingi imekusaidia nini? Ufanye mambo 2:

1. Ukadai ada zako shuleni kwa sababu hujaelimika.

2. Umuombe radhi baba/mama yako kwa kupoteza pesa zao kwa sababu shule wamekufunza vitu vizuri na uligoma kabisa kuelemika
Pathetic.
This is very irrelevant. Wewe ndiye unatakiwa ukadai ada yako.
 
Hivyo vipo bali udini uswahili na majungu pia vipo sana
hakuna sehemu hakuna hayo mambo... nimezunguka mikoa yote Tz na wilaya kibao, kuanzia pwani yote na visiwa vyake mpaka bara huko... ubaguzi upo na udini upo...

watu hawa oani kisa dini tofauti, lakini mzungu mnaoana na dini yako utabaki nayo... zenji, tanga, mpaka mtwara wazungu wameoa na kuolewa na wakazi waislamu bila kubadili dini...
 
Back
Top Bottom