Naomba kutolewa jongotongo juu ya huu ujauzito

Naomba kutolewa jongotongo juu ya huu ujauzito

tEcHiE

Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
55
Reaction score
92
Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa ana ujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua

Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba, maana nikipiga hesab naona zinagoma

Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa.
 
Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua

Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa
Wasi wasi ndo AKILI, usishupaze shingo.
 
Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua

Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa
Huo ulikuwa ujauzito wako bro!!
 
MKuu hiyo mimba ni ya january
Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua

Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hap
 
Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua

Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa
Kwa hesabu hizo yupo sawa ni yako
 
Umri wa mimba unapimwa kuanzia ile siku ya period ya mwisho ya mwanamke. Mfano ulilala nae mwezi wa 2, period yake ya mwisho possibly aliiona Januar, so January ndo inakuwa mwezi wa kwanza wa mimba, count hiyo January mpaka miezi 9 ifike.
 
Ukiangalia sura ya mtoto vipi hakuna hata kufananapo
 
Back
Top Bottom