Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,994
- 4,729
kudadeki mtapigwa sana na huna pa kuchomokea zaidi ya DNA kwa sababu mahesabu ya mimba yatakukataa maana mimba kuanzia wiki ya 37 inaweza kuzaliwa sasa kwa maelezo yako hiyo tarehe kumi na saba mimba ilikuwa na wiki 37.kwa hiyo mahesabu yatarudi huko kwako.Tar 14