Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi angejifungua mtoto kati ya tarehe 20 November 2024 .. Ikiwa ulikutana nae mwezi 2 tarehe 14 ikiwa ulikutana nae mwezi wa 3 angejifungua disemba .. Na kama kulikua hakuna sababu ya msingi ya kuhatarisha mimba na uhai wa mbeba mimba.. Basi kulikua hakuna sababu ya yeye kujifungua mimba hiyo ikiwa na miezi 7.. Au 8 Kama inavyojionesha sasa. MIMBA SIO YAKO UKILETA HURUMA NA USHAURI WA KIBINADAMU SIJUI MTOTO NI BARAKA USIJE UKATULAUMU BAADAE.. pale mwenye mtoto atakapoijia mtoto wake. Either kaona wewe unaweza muhudumia kaamua akubambikizie na ukute Hata jina hujampa weweTar 14
Shida ni tamaa za helaSingle maza anakaribia kutengenezwa hapa
Wanawake ni wapumbavu sana kwa nini mnakubali kutombwa kavu na wanaume wasio waume zenu?
Na huu ndo ukweli mwenye masikio na asikie 😃MKuu hiyo mimba ni ya january
Tar 14
Ahsante kaka mtoto karud nae yupo kwaoJapo hujatoa taarifa kama kulikuwa na complications zozote zilizopelekea ajifungue, hujaeleza pia mlikutana February ngapi
Kama mwenza wako alijifungua mwezi Oktoba 17, maana yake mimba alishika katikati ya mwezi wa kwanza.
Kama ninyi mlikutana February basi alipaswa kujifungua tarehe za mwanzoni za mwezi Novemba.
😅😅Kwa hiyo valentine day mkazagamuana, dah sambaza upendo kwa kumlea mwanao na sio kumkana
Kutoka inaanza period mpaka inafika siku ya kupevuka kwa mtu normal Kuna siku kumi na nne. Period ikiisha siku ya tano au ya Dsita maana yake Kuna siku at least siku nane mpaka kumi. Maana yake kama ni mwanzoni possibility ya mimba kutokua yake ni kubwa pia. Kikubwa atafute kadi ya kliniki bila kuuliza. Ushahidi ataupata wote huko. Angetoa hizo siku za hatari, siku ya kukutana inawezekana kupredict vizuri.Umri wa mimba unapimwa kuanzia ile siku ya period ya mwisho ya mwanamke. Mfano ulilala nae mwezi wa 2, period yake ya mwisho possibly aliiona Januar, so January ndo inakuwa mwezi wa kwanza wa mimba, count hiyo January mpaka miezi 9 ifike.
Ikiwa mimba imetunga huo mwezi wa pili na mwezi wa kumi amejifungua, kama ni yako labda amezaa kabla ya wakati yaaani prematureNimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa ana ujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua
Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba, maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa.
Nilitaka kusema hy mimba sio yako, ila kwakuwa ume-sex nae hy tarehe 😂 naomba niseme tuu kuwa hy n mimba yakoTar 14
Buku tuu ingemaliza matatizo yote haya yanayoweza kumgharimu mtu maisha yake yote 🔥🔥🔥Ungetumia condom ya 1000 kusingekuwa na haya maswali!
unapaswa kutambua kwamba hapo every date counts, huwezi ukaongea just that general.Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa ana ujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua
Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba, maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa.
Paragraph ya mwisho hiyo hahahaaunapaswa kutambua kwamba hapo every date counts, huwezi ukaongea just that general.
Specify unaposema Mwanzoni ilikuwa ni wiki ya ngapi ya huo mwezi, pia alipikupatia taarifa ilikuwa ni wiki ya ngapi ya mwezi wa tatu.
Ukishakuwa that specific ndiyo tutajua kama hiyo mimba ni ya kwako au tutembee na kuishi kwenye misemo wa kitanda hakizai haramu, watoto ni zawadi, wengine wanatafuta watoto, huyo mtoto hana kosa n.k