Wasi wasi ndo AKILI, usishupaze shingo.Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua
Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa
Huo ulikuwa ujauzito wako bro!!Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua
Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa
Single maza anakaribia kutengenezwa hapa
Wanawake ni wapumbavu sana kwa nini mnakubali kutombwa kavu na wanaume wasio waume zenu?
Nimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua
Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hap
Kwa hesabu hizo yupo sawa ni yakoNimekutana na huyu bibie mwez wa 2 mwanzoni kufika mwez wa 3 kaniambia kuwa anaujauzito wangu tar 17 mwez wa 10 ndiyo siku aliyojifungua
Sasa wakuu m nataka tu kujua kwa huo kwel miez 9 ya mimba imekamilika au alishakuwa na ujauzito tangu mwez wa 1 mim nimebebeshwa tu aliponiona nina potential ya kuwa baba
Maana nikipiga hesab naona zinagoma
Hebu wakuu nitoen tongotongo hapa
Kwa hiyo valentine day mkazagamuana, dah sambaza upendo kwa kumlea mwanao na sio kumkanaTar 14