Naomba kutolewa jongotongo juu ya huu ujauzito

kudadeki mtapigwa sana na huna pa kuchomokea zaidi ya DNA kwa sababu mahesabu ya mimba yatakukataa maana mimba kuanzia wiki ya 37 inaweza kuzaliwa sasa kwa maelezo yako hiyo tarehe kumi na saba mimba ilikuwa na wiki 37.kwa hiyo mahesabu yatarudi huko kwako.
 
Tuseme Mara ya Mwisho kuona period yake ni 1/2/2024 hata kama ulimbandua siku chache baada ya period. Then
Tare ya matarajio ya kujifungua kama atapata mimba ni

8/11/2024.

Muhimu: Lazima uwe unajua siku halisi aliyopata Period kwa mara ya mwisho ktk uja uzito huu.

Usije ukamkataa Mwanao
 
kweli wa ni bush dokta,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…