Naibu waziri wa elimu.... Tafadhari naomba ujibu wa kifupi Sana......
Mweshimiwa spika naomba nijibu swali la nyongeze la ndugu yetu matola kama ifuatavyo........awe mvumilivu mda si mrefu tutatoa selection, tupo kwenye mchakato, hivyo nimuondoe wasiwasi.asante mheshimiwa spika.