Naomba kuuliza wajuvi, mtu aliyekaa miezi 18 bila kuajiriwa, alivyorudi mfuko wa hifadhi ya jamii ilikuwaje?

Naomba kuuliza wajuvi, mtu aliyekaa miezi 18 bila kuajiriwa, alivyorudi mfuko wa hifadhi ya jamii ilikuwaje?

Sean Paul

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
1,330
Reaction score
3,289
Wakuu habari,

Sheria ya kikokotoo kwa watumishi waliokuwa na ajira rasmi ipo wazi. Ikitokea mtu amekosa ajira kwa sababu yoyote ile isiwe ya kuacha mwenyewe, sheria inaelekeza alipwe 33% ya mshahara wake kwa muda wa miezi 6. Kisha asubiri miezi 18 kama hajapata ajira nyingine amwandikie Mkurugenzi wa mfuko wake, michango yake ihamishiwe uchangiaji wa hiyari.

Sasa nauliza, mtu kama haitaji kuchangia kwa hiyari wanamfanyaje? Na kama akiwa mchangiaji wa hiyari faida zake zipi?
Wakati mwingine ajira ni kama utumwa, but you atleast need to speculate what tomorrow brings.

Kuna yeyote ameshawahi kupitia mchakato huo? Share experience yako.
 
Wakuu habari,

Sheria ya kikokotoo kwa watumishi waliokuwa na ajira rasmi ipo wazi. Ikitokea mtu amekosa ajira kwa sababu yoyote ile isiwe ya kuacha mwenyewe, sheria inaelekeza alipwe 33% ya mshahara wake kwa muda wa miezi 6. Kisha asubiri miezi 18 kama hajapata ajira nyingine amwandikie Mkurugenzi wa mfuko wake, michango yake ihamishiwe uchangiaji wa hiyari.

Sasa nauliza, mtu kama haitaji kuchangia kwa hiyari wanamfanyaje? Na kama akiwa mchangiaji wa hiyari faida zake zipi?
Wakati mwingine ajira ni kama utumwa, but you atleast need to speculate what tomorrow brings.

Kuna yeyote ameshawahi kupitia mchakato huo? Share experience yako.
kumbe huna ajira na una dhiki ya kimaisha japo hapa umejifanya kuzuga halafu leo siku nzima ulikuwa unagombana na gentamicine ambae nina uhakika hata humpati kwa lolote lile kama ambavyo amekuwa akijinadi. nitafute pm ili nikupe maelekezo upate hizo pesa zako na uache kutwa kupambana na huyo jamaa hapa jf kwa kuwaiga wengine
 
kumbe huna ajira na una dhiki ya kimaisha japo hapa umejifanya kuzuga halafu leo siku nzima ulikuwa unagombana na gentamicine ambae nina uhakika hata humpati kwa lolote lile kama ambavyo amekuwa akijinadi. nitafute pm ili nikupe maelekezo upate hizo pesa zako na uache kutwa kupambana na huyo jamaa hapa jf kwa kuwaiga wengine
Mimi sina ajira bro?🤣🤣🤣
Yaani wabongo bana, kila mtu anachouliza huku kinamhusu yeye 100%
Mimi siji huko PM kwa sababu sina shida ya pesa za NSSF. Ila tunao ndugu na jamaa wana changamoto moja na mbili kazini kwao.

Na hata nikipoteza ajira leo, nina uwezo wa kuishi vizuri tu. Kama mama mtoto wangu nimempa biashara ya milioni 15 mtaji umefika kwa sasa, ushajiuliza mi nna uchumi gani?

Kama hujui ninamiliki Microfinance, nina share 90%, hizo 10 nimempa jamaa yangu ambaye ndio head of operations pale.

Genta ni mpumbavu tu.
 
Back
Top Bottom