Naomba kuuliza waungwana

Acha uzinifu tulia na mke mmoja,wanaume umalaya utawaua,ogopeni zinaa
 
Sasa unashindana na biblia ya nini? Au Dini yako iliyokwambia uoe mke mmoja? Kwani hujui mafundisho ya Dini hayabadilishwi? Kama huwezi kubadili Imani Ili ufate Imani inayoruhusu wake wengi huwezi kufanikiwa kwa Imani isiyoruhusu wake zaidi mmoja, ushauri nao kupa wakati bado unaisumbua nafsi yako Dini yako ibadili misimamo yake kitu ambacho hakitafanyika ushauri nao kupa kwa Sasa acha kuboost nguvu za kiume yaani kula dawa au vitu vinavyokupa nguvu hizo nyingi kupita uwezo wa kutoshezelezwa na mke mmoja, pia unaweza kujiweka kwenye shughuli zingine kama mazoezi na kujiingiza kufanya kazi za muda wa ziada Ili mwili usibweteke kama mnyama wanaopata muda wa tendo hilo muda wote au wakati wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…