Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

My Honest Book

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
1,363
Reaction score
2,161
Asee leo nimeshangaa sana wakuu na nimeamini wanaimani ya ovyo sana

Kilichonikuta dk 5 zilizopita
Nimeamka nikaenda kwa jirani yangu kwa lengo ya kununua maji maana yeye anakisima kwa bahati mbaya ama nzuri sijawahi kupata shida ya maji na uhitaji wa maji ya haraka kama ilivyo leo.

Yaani Jumamosi asubuhi
Sasa bwana nimeenda na dumu zangu mbili mpaka lilipo bomba lao, huwa liko kwa nje ila wanafunga na kufungua kwa ndani.

Akaja huyo mmama akanambia Jumamosi hatuuzi maji yaani fresh kabisa hawauzi sababu ya sabato na maji wanayo.

Nimeshangaa sana sio kidogo, sasa kama hamruhusiwi kufanya biashara siku ya sabato sasa si mtoe maji bure kama sadaka ama hamruhusiwi na kutoa sadaka pia nyie raia mnazingua sana

Hizi Dini wenye nazo wangekuja kuzichukua tubak na akili za mababu zetu. How on earth kwasaabbu ya imani unashindwa kumpa jirani yako maji afu uko nayo ya kutosha?

Yaani yakitoka haya madhehebu ya kina Mwamposa wasabato nao ni watu wa ovyo sana.
 
Pole sana kijana nunua Pilton na maji makubwa ya dasani ushushie kisha njoo kimara baruti na dumu zako za maji nitakupatia bure hata lita 1000 bila malipo
 
Wasabato mmepatikana leo 😁😁😁

Ndugu zangu waafrika dini zote na kwa imani zote ni kuwa zililetwa tu. Rudini vizazi vitano vya mababu zenu muone walikuwa dini gani. Huku kwingine mnagawanywa fu na mabeberu na mabedui
 
Jinga kabisa wewe, Wakatoliki ndo wenye imani yao na ndo baba wa madhehebu yote ya kikristo. Wao ndo waliotengeneza njia yenu wote alafu leo hii uniambie hawajui walichokitengeneza!!!?? Huko kwa manabii wenu mnalishwa ujinga mtupu.
Kanisa Katoliki ni ile ya zamani. baada Roma empire kuingiza upagani na ibada ya sanamu kanisani, imesababisha kanisa hilo kuwa Msingi wa upotovu na ukahaba wa kiroho
 
Back
Top Bottom