Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

Kwa nini usiheshimu utaratibu wa eneo husika?, Ulishindwa nini kwenda kuteka maji yako ta kutosha ijumaa mpaka ulazimishe watu kufuata utaratibu wako?

Nafikiri jamii inayotegemea hayo maji kwa kununua inajua utaratibu ndo maana pengine ulijikuta mwenyewe. Ya kwamba wewe ni spesho sana kuwa unapaswa kuuziwa maji kinyume na utaratibu wa eneo husika!!.

Yaani ushinde pub usiku mzima toka ijumaa ukapuuza watu wanaoteka maji ukaona siku ya sabato ndio inafaa kwenda kuwajaribu watu uone reputation yao au!.

Kujiandaa kwa swala la maji sio dharula na wasabato huwa wanajadili mambo ya dharula na yasiyo ya dharula kwa siku za sabato.

Afu unanyimwa maji unakimbia kuanzisha uzi na arosto zako duuu. Nenda unywe supu ukisubiri sabato iishe
 
Huyo ndo roho yake hapendi kutoa ana fikra mbaya khusu kutoa na watu wengi Wana roho mbaya Sana na hii haisababishwi na Mtu kuwa na dini Flani !!!

Then wewe mtoa Mada unaandika matusi Kama ndo tabia yako ya kutokana mlevi Basi utapata shida Dunia ya leo watu Kama nyie lazima mteseke Sana.

Usabato na roho haya ni mambo mawili tofauti.
 
Ulichofanya ni ushetani. Kumtia MTU majaribuni.

Wewe sio mgeni kwenye huo mtaa. Unajua kabisa hao NI wasabato na jumamosi hawauzi wala kufanya biashara yoyote.

Ungefika Kwa Nia ya kuomba maji na sio kununua.

Ungekuwa mgeni hapo na huwajui na hawakujui ungekuwa na hoja.

Lakini ulichokifanya ni ushetani
 
Hili nalo linathibitisha mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote, na nguvu zote hayupo angekuepo asingekubali viumbe vyake vigombane vikisema sisi ni bora kuliko wengine.
 
Hakuna dini iliyo bora kuliko dini nyingine. Hakuna dini itakayoingia mbinguni.

Mbinguni hakutakuwa na swali la "ulikuwa ukiabudu dini gani" wanaoabudu katika roho na kweli tu ndio watakao ingia. Wasiofungwa na misingi ya kidini bali ya Roho mtakatifu.

Kama ukimwona mtu anagalagala anakaribia kufa kwa kukosa maji na pembeni yako kuna kisima cha maji, wewe kama binadamu lazima uingiwe na roho ya huruma ya kutaka kumsaidia kuteka maji umpe lakini ukikumbuka sheria za dini zitakuambia leo huruhusiwi kufanya kazi, kwahiyo utaamua wewe usikilize roho au dini.
 
Kila mtu yupo sahihi kwa imani yake.
Hoja ya kutoa bure ni Imani binafsi.
Ukitaka maji ya bure fata mjini kwenye misikiti ya wahindi
 
Hili nalo linathibitisha mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote, na nguvu zote hayupo angekuepo asingekubali viumbe vyake vigombane vikisema sisi ni bora kuliko wengine.
Magomvi mi kazi ya Shetani Mungu hausiki
 
Hakuna dini iliyo bora kuliko dini nyingine.hakuna dini itakayoingia mbinguni.mbinguni hakutakuwa na swali la "ulikuwa ukiabudu dini gani" wanaoabudu katika roho na kweli tu ndio watakao...
Hawafanyi kazi kwa sababu ni siku maalumu kwao kumuabudu Mungu baada ya siku sita za kazi
 
Ishu kubwa hapa ni kukosa maji ungekuwa na maji usinge andika haya.

Wewe ishi ukiamini misingi ya maisha uliyochagua kuishi ni sahihi na bora kwako.

Ila haimaanishi waliyochagua wengine ikiwa haifanani na yako siyo sahihi
 
Jinga kabisa wewe, Wakatoliki ndo wenye imani yao na ndo baba wa madhehebu yote ya kikristo. Wao ndo waliotengeneza njia yenu wote alafu leo hii uniambie hawajui walichokitengeneza!!!?? Huko kwa manabii wenu mnalishwa ujinga mtupu.
Upo nyuma ya muda. Apo sijui mjinga ni nani.
 
Siku ingine utachota maji mapema ukitambua jumamosi hawauzi
 
Ishu kubwa hapa ni kukosa maji ungekuwa na maji usinge andika haya
Wewe ishi ukiamini misingi ya maisha uliyochagua kuishi ni sahihi na bora kwako
Ila haimaanishi waliyochagua wengine ikiwa haifanani na yako siyo sahihi
Mzee me sitaki kuwapangia maisha lakn najaribu kuwaza kwa sauti,inakuaje kanisani jumamosi hio hio unaenda kutoa sadaka ili mchungaji aishi halafu ww hutak kuuza maji
 
Back
Top Bottom