My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
- Thread starter
- #41
Tuache wakatoliki kwanza,hiki kibanda nimewajengea wasabato kwa leo,tuish nao kwny huu utaratibu wao wa kugomea pesa jumamosiWasabato, wakatoliki na waislam wanaabudu wasichokijua