DungaMawe
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 1,522
- 4,630
SEMA NINI TUPAMBANE NA SISI TUWEKE MABOMBA YETU MDA WA KUOGA TUOGE JABA ZIMAWe jamaa me sikuwaamsha mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SEMA NINI TUPAMBANE NA SISI TUWEKE MABOMBA YETU MDA WA KUOGA TUOGE JABA ZIMAWe jamaa me sikuwaamsha mzee
Wakolosai 2:8Aliyekunyima maji Yuko sahihi Kwa sababu zifuatazo.
1. Uumbaji. Mungu aliumba mbingu na nchi Kwa siku sita na siku ya saba siku ya sabato mungu alipumzika na kustarehe hakufanya kazi yoyote.
2. Kutakasa sabato. Mungu kaagiza katika amri kumi kwamba ikumbuke siku ya sabato na uitakase usifanye kazi yoyote wala mnyama wako wala mgeni aliye ndani ya malango yako wala chochote ulichonacho kisifanye kazi siku ya sabato.
adriz mutu ya Allah huko wapi?Bora hao wengine wanajitambua ila hao wajukuu wa mudi ndio hovyo zaidi.
Baada ya kupumzika siku ya Saba siku ya nane aliendelea na kazi gani? Isije kuwa Mungu alivyomaliza mishe zake akapumzikaAliyekunyima maji Yuko sahihi Kwa sababu zifuatazo.
1. Uumbaji. Mungu aliumba mbingu na nchi Kwa siku sita na siku ya saba siku ya sabato mungu alipumzika na kustarehe hakufanya kazi yoyote.
2. Kutakasa sabato. Mungu kaagiza katika amri kumi kwamba ikumbuke siku ya sabato na uitakase usifanye kazi yoyote wala mnyama wako wala mgeni aliye ndani ya malango yako wala chochote ulichonacho kisifanye kazi siku ya sabato.
Acha kupotosha watu Basi, hakuna mkatoliki aliyeandika biblia,,,Wewe ni dhehebu gani? Biblia waandike wakatoliki halafu wewe ndio ujifanye unaijuwa kuliko waandishi wenyewe?
Insanity.
Unapinga nini na unaandika nini? Biblia imeletwa na nani? Ni nani aliyekusanya vitabu na kuvipanga na kupata Biblia?Acha kupotosha watu Basi, hakuna mkatoliki aliyeandika biblia,,,
Vitabu vyote kwenye biblia vimeandikwa na WAYAHUDU hakuna kitabu hata kimoja Cha mkatoliki au mzungu, au mvaticani,,,
Walichofanya wakatoliki ni kukaa kwenye mkutano (MTAGUSO WA VATICAN) na kuamua kuviunganisha vitabu hivyo vyote vya WAYAHUDI nakuviita BIBLIA.
SASA usipotoshe watu kwakusema eti BIBLIA IMEANDIKWA NA WAKATOLIKI,, Hebu nitajie kitabu au waraka hata mmoja kwenye biblia ulioandikwa na MKATOLIKI hata MMOJA????!!!! Nikitabu gani kwenye biblia kimeandikwa na MKATOLIKI???!
We chizi kwelii,,, jibu hoja acha kuzunguka zunguka!Unapinga nini na unaandika nini? Biblia imeletwa na nani? Ni nani aliyekusanya vitabu na kuvipanga na kupata Biblia?
Unafahamu Apocrypha books ambazo hazikuingizwa kwenye Biblia kama book of Enock na kitabu cha Sila?
Naunga mkono hojaJinga kabisa wewe, Wakatoliki ndo wenye imani yao na ndo baba wa madhehebu yote ya kikristo. Wao ndo waliotengeneza njia yenu wote alafu leo hii uniambie hawajui walichokitengeneza!!!?? Huko kwa manabii wenu mnalishwa ujinga mtupu.
AaaahaaaJAPO MIMI SIO MSABATO ILA TAFUTA HELA ACHA KULIALIA NA KUAMSHA WATU ASUBUHI ASUBUHI
Aahaaaaa,alikufanyaje mkuuKuna mod simpendi kinoma.. ningekuwa mchawi ninge mroga walahi.. nitaweka hapa ID yake
Wasabato sio wakristo. Waislam wapo chaka Allah sio Mungu Mkuu. Wakatoliki ndio pekee walio sawa.Wasabato, wakatoliki na waislam wanaabudu wasichokijua
acha tu simpendi kinomaaa.. ananiandama kizembe zembe .. nitamroga namtazama tuAahaaaaa,alikufanyaje mkuu
Ila Cha ajabu wanagongana siku ya sabatoYamekukuta kama yangu inaniumga mpaka leo japo imepita miaka
nilitoka home pana umbali kidogo na huyo mama kwenda kununua sabuni nafik ananiambia aah leo sabato nikondoka kwa uchungu sana.
Wanasahau hata Yesu liwaulizaga watoto zenu sijui wanapunda wakizama mtoni hamtawatoa kisa sabato?
Chizi babako mzazi, aliyekusanya hizo nyaraka na kuziweka pamoja na kuziita Biblia ni nani?We chizi kwelii,,, jibu hoja acha kuzunguka zunguka!
Umesema biblia IMEANDIKWA na WAKATOLIKI????
Nimekuuliza nitajie hata kitabu au waraka mmoja kwenye biblia iliandikwa na MKATOLIKI unaanza kuzunguka zunguka!
Taja jina la mkatoliki au papa hata mmoja aliyeandika kitabu gani kwenye biblia?????
Jibu hoja acha kuzunguka zunguka ovyo!!!
Kujitwika ndoo au kubeba siku ya sabato kwa imani yao hairuhusiwiSasa kama hauzi kwa sababu ya kiimani basi ngekupa tu kama sadaka
UongoJinga kabisa wewe, Wakatoliki ndo wenye imani yao na ndo baba wa madhehebu yote ya kikristo. Wao ndo waliotengeneza njia yenu wote alafu leo hii uniambie hawajui walichokitengeneza!!!?? Huko kwa manabii wenu mnalishwa ujinga mtupu.
Ah ha haaaa! Naona umeanza kupanic dada!Chizi babako mzazi, aliyekusanya hizo nyaraka na kuziweka pamoja na kuziita Biblia ni nani?
Yani wewe mnya nje ndio uzijuwe nyaraka kuliko aliyezijusanya na kuzihariri na kuziweka kwenye kitabu kimoja na kukiita Biblia?