baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,480
- 2,239
Ipokwani sua kuna facult ya mifugo??? nadhani hii post yako ni UONGO mtupu na utampotosha mtoa mada!!!
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipokwani sua kuna facult ya mifugo??? nadhani hii post yako ni UONGO mtupu na utampotosha mtoa mada!!!
Nakubaliana na ww ila punguza ukali wa maneno hawa jamaa ni wapiga porojoinawezekana ujui pia mifugo NI nini kilaza,unapoambiwa veternary inajumuisha BVM NA KIDOGOO BIOTECHNOLOGY,ANIMAL SCIENCE NI PATI YA EXTENSION KWA VITENGO VYA KIKAZI SISI TUNAWAITA MAMLUKI NA WAIMBA NGONJERA KWA WAKULIMA NA SIO TECHNITIANS WA MIFUGO
tatizo lenu hamuelewi hata mnachokizungumza! niwapeni pole!Hayo ndo majibu sasa na huo ndo ukwel animal science ni course useless kwa mtu anayetoka chuo labda uwe na mtaji utengeneze kiwanda cha maziwa n.k ila pesa za mitaan nyingi zinapatikana kwa kutibu na sio ushaur wa ipi mbegu bora ya mnyama au umpe chakula gan mkulima atakutetemekea mnyama akiumwa ili umponye
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
nikusaidie kidogo tu, naomba utafuete katika internet maana ya animal science, ukipata ndiyo mrudi hapa!Nakubaliana na ww ila punguza ukali wa maneno hawa jamaa ni wapiga porojo
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Hahaha hahaha daaa we jamaa sio mtu mzurii nnnhhhmadaktari wabobezi wa mifupa, meno ya ng'ombe or moyo? wa kazi gani? elimu hata ya cheti tu inatosha kutibu mnyama, akiendelea kuumwa achinjwe kuepusha gharama ambazo siyo muhimu
animal scientist siyo tabibu wa mifugo, kwa hiyo hawezi kutibu provided anataka au hataki; anayomajukumu mengine makubwa sana katika tasnia ya mifugo mfano; animal scientist anaweza kufanya kazi zifuatazo 1. animal feed processor - atajiajiri au ataajiriwa na viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo 2. animal nutritionist - mshauri mkuu wa lishe ya wanyama kwa afya bora za wanyama mfano wale nini na kwa wakati gani. hii ni muhimu sana kuongeza uzalishaji bora na salama wa maziwa, nyama na mayai na kwa bei nafuu pia 3. animal breeder and genetist - hii inahusika na viini tete kuunda mnyama anayekuwa upesi, kutoa nyama, maziwa au mayai kwa wingi zaidi na pia wanyama watakao himili magonjwa na uhaba wa chakula na maji huku wakizalisha nyama, maziwa na mayai kama kawaida, 4. pasture and range scientist 5. food scientist and technologist (milk and meat, eggs and their products)unapoteza muda labda ukawe mwl. Maana unasoma story 2 za wanyama
na jinsi ya kuwalea,ila hurusiwi na hautatakiwa hata kumtibu
Hahahaa mtoa mada inabidi atuambie amepata kazi au amejiajiri wapi sasaBwana ee uzi umeanzishwa 2013 leo ni 2018 muanzisha mada keshaajiriwa tufunge mjadala?
Kozi hii ni miaka mi3.
Hahahaa mtoa mada inabidi atuambie amepata kazi au amejiajiri wapi sasa
Hahahahaaa huenda ikawaUkiona kimya ujue achakaza soli ya viatu.
hali mbaya kitaa.utakuta hata jamii forum anaingia kupitia free basic ya facebook.Ukiona kimya ujue achakaza soli ya viatu.
VizuriNipo jamani, dogo aligraduate 2016 na amefaulu vizuri tu kea Gpa ya 3.7 ila ajira hakuna. Hii ni changamoto,kwa kada zote ni kutokana na sera za awamu ya 5. Kama walimu tu wanasota, kilimo je?
Hali tete kwa wote.
Dogo nimempa mtaji, anafanya ujasiriamali wa kufuga. Huku akisubiri wenye nchi watoe ajira.
ongezea Human NutritionMkiambiwa mnakuwa wabishi Sua ni Chuo kizur ila hzi Koz sio nzur japo zpo pale
Animal science
Biotechnology and laboratory science
Family consumer
Nipe elimu mkuu kwa mini sio mzuri?Mkiambiwa mnakuwa wabishi Sua ni Chuo kizur ila hzi Koz sio nzur japo zpo pale
Animal science
Biotechnology and laboratory science
Family consumer