Naomba maoni yenu huyu mwanamke ananiumiza sana

Naomba maoni yenu huyu mwanamke ananiumiza sana

mambo ya nyakati

Senior Member
Joined
Aug 24, 2022
Posts
115
Reaction score
146
Ushauri

Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke, kwasasa kwao baadhi wananijua, yeye anang'ang'ania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kimya tu. Yeye ana mika 32 kwasasa kanipita miaka 9, yeye anamtoto mmoja wa miaka 8

Mimi sina. Na kila akinikosea mbona huwa naumia mimi kuna siku nilijikuta nalia tuuh ndani siku nzima kisa aliniudhi nikamwambia tuachane, akasema sawa Moyo ukawa unaniuma sana

Hivi hapa nikiweka mwili na roho nitakuwa najidanganya au niishi nae tuuh

Maoni yenu.
 
Kwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?

Huyo mwanamke siyo rika lake, Pili ana mume wake, watu wa rika lake wamejaa kibao na wanatafuta wenza, si vyema kumpotosha mtu kwenye vitu sensitive.
Naungana na wewe ikiwa kama atafata huu ushauri atafanikiwa....angalia rika lako istoshe huyo mwanamke anamtoto kwa vyovyote mtasumbuana huko muendako yeye amtafute sahizi yake shubaaaamit
 
Ushauli

Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu

Maoni yenu.
Haya yote ni mambo ya nyakati kama jina lako 22yrs unaoa namba A mtu wa 32yrs wakati kuna namba mabinti namba E mtaani 😂😂 au unapenda kuwa kiben ten
 
Back
Top Bottom