Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
😂😂Aah kweli bhanaa hiyo mbili nilienda nayo kichwani🤓24 bhana sio 22 [emoji22]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Aah kweli bhanaa hiyo mbili nilienda nayo kichwani🤓24 bhana sio 22 [emoji22]
kapewa kitu kinono😂Miaka 22 bado akili haijakomaa ni kijana anahitaji muongozo tu, na usikute amesharogwa na huyo mwanamke maana graph yake hapo hot Kwa umri wake ingawa siyo wote.
Uweke Mwili na Roho Mara ngapi..wakati akikukosea unaliaaa siku nzima🤣Ushauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke...
DoohNi kweli huyo mwanamke kashapoteza kwaiyo ana force ndoa, ni vizuri mwanaume umezidi miaka 10 mwanamke, wanawke waki Afrika wanakuwa sana kimwili,huyo mwanamke akijichanganya akamuoa tu baada ya miaka 8 tu atamuona kama mama yake mdogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uweke Mwili na Roho Mara ngapi..wakati akikukosea unaliaaa siku nzima[emoji1787]
Nimepewa Yote, nifie kwenye kifuakapewa kitu kinono[emoji23]
Kwa mwili wangu ulivyo hata tukitembea tunaonekana tupo sawa tuuh, maana ninamwili mkubwa mnene kiasi nimepanda hewani midevu kama yoteSasa wewe una miaka 23 halafu una husiana na mwanamke wa miaka 32 tena ana mtoto mkubwa wa miaka 8?!
Nini kinakufanya uwe na akili ya kuamini kuwa utaweza kumuongoza yeye na mtoto wake na kujenga nae familia bila kupata wakati mgumu?!
Kwann upate kazi ya namna hiyo na wewe ni kijana mdogo sana. Mwanamke unaetakiwa kumuoa bado hajazaliwa kabisa. Wapo wanawake wa kupatia experience tu hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge huwa hasikii hadi damu imtoke masikioni.Kwa mwili wangu ulivyo hata tukitembea tunaonekana tupo sawa tuuh, maana ninamwili mkubwa mnene kiasi nimepanda hewani midevu kama yote
Sasa ungepewa popo kanyea mbingu ingekuwaje?Nimepewa Yote, nifie kwenye kifua
siku ya kwanza nilipewa style ya nyani kadondoka na tawi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ungepewa popo kanyea mbingu ingekuwaje?
Nafanya kaziShule zishafunguliwa kuwa bussy na masomo kijana!! Utakuja kufa kabla ya siku zako mapenzi hayo tupo hapa.
Chuo ?Hongera kwa kupata chuo
Una kazi ya kumlisha yeye na mtoto wake au ni kiherehere kinakusumbua?ushauli wako
Juzi nimefika kulipa Ada [emoji22]Una kazi ya kumlisha yeye na mtoto wake au ni kiherehere kinakusumbua?
Mke wako bado anasoma acha kuhangaika na wanawake za watuJuzi nimefika kulipa Ada [emoji22]
Ila wewe jaman😆😆😆Hongera kwa kupata chuo
SawaMke wako bado anasoma acha kuhangaika na wanawake za watu
Akili kichwani kwako.