Naomba maoni yenu huyu mwanamke ananiumiza sana

Naomba maoni yenu huyu mwanamke ananiumiza sana

Haya yote ni mambo ya nyakati kama jina lako 22yrs unaoa namba A mtu wa 32yrs wakati kuna namba mabinti namba E mtaani 😂😂 au unapenda kuwa kiben ten
Miaka 22 bado akili haijakomaa ni kijana anahitaji muongozo tu, na usikute amesharogwa na huyo mwanamke maana graph yake hapo hot Kwa umri wake ingawa siyo wote.
 
Ushauli

Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh
Yeye ana mika 32 kwasasa kanipita mika 9, yeye anamtoto mmoja wa miaka 8
Mimi sina.

Na kila akinikosea mbona huwa naumia mimi kuna siku nilijikuta nalia tuuh ndani siku nzima kisa aliniudhi nikamwambia tuachane, akasema sawa Moyo ukawa unaniuma sana


Hivi hapa nikiweka mwili na roho ntakuwa najidanganya au niishi nae tuuh

Maoni yenu.
Muoe acha utoto.Utakuwa unamuita auntie.
 
Kwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?

Huyo mwanamke siyo rika lake, Pili ana mume wake, watu wa rika lake wamejaa kibao na wanatafuta wenza, si vyema kumpotosha mtu kwenye vitu sensitive.
Wapi amesema mwanamke ameolewa au anamume ? ninachosema mimi ikiwa anampenda na amekubali na anaishi nae ndoa itapunguza nini?
 
Ushauli

Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh
Yeye ana mika 32 kwasasa kanipita mika 9, yeye anamtoto mmoja wa miaka 8
Mimi sina.

Na kila akinikosea mbona huwa naumia mimi kuna siku nilijikuta nalia tuuh ndani siku nzima kisa aliniudhi nikamwambia tuachane, akasema sawa Moyo ukawa unaniuma sana


Hivi hapa nikiweka mwili na roho ntakuwa najidanganya au niishi nae tuuh

Maoni yenu.
Limbwata, wanawake waliozalishwa na kuachwa wengi wao wana amini kwenye kuroga ili kumuendesha mwanaume atoe pesa za kumlea mwanae.
 
Ushauli

Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh


Maoni yenu.
Dogo, kama hujui kiti inaitwa LIMBWATA, ndio hiyo, icho kinachouma moyoni na unalia kiujingaujinga ni kwamba nafsi yako imekamatwa. kimbilia kwa Yesu, acha uzinzi, umeshalizwa.
 
Ushauli

Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh
Yeye ana mika 32 kwasasa kanipita mika 9, yeye anamtoto mmoja wa miaka 8
Mimi sina.

Na kila akinikosea mbona huwa naumia mimi kuna siku nilijikuta nalia tuuh ndani siku nzima kisa aliniudhi nikamwambia tuachane, akasema sawa Moyo ukawa unaniuma sana


Hivi hapa nikiweka mwili na roho ntakuwa najidanganya au niishi nae tuuh

Maoni yenu.
Inamaana ww una miaka 23? Ww ni mtoto mdogo sanaaaaaa
 
Kwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?

Huyo mwanamke siyo rika lake, Pili ana mume wake, watu wa rika lake wamejaa kibao na wanatafuta wenza, si vyema kumpotosha mtu kwenye vitu sensitive.
Ni kweli huyo mwanamke kashapoteza kwaiyo ana force ndoa, ni vizuri mwanaume umezidi miaka 10 mwanamke, wanawke waki Afrika wanakuwa sana kimwili,huyo mwanamke akijichanganya akamuoa tu baada ya miaka 8 tu atamuona kama mama yake mdogo.
 
Sasa wewe una miaka 23 halafu una husiana na mwanamke wa miaka 32 tena ana mtoto mkubwa wa miaka 8?!

Nini kinakufanya uwe na akili ya kuamini kuwa utaweza kumuongoza yeye na mtoto wake na kujenga nae familia bila kupata wakati mgumu?!

Kwann upate kazi ya namna hiyo na wewe ni kijana mdogo sana. Mwanamke unaetakiwa kumuoa bado hajazaliwa kabisa. Wapo wanawake wa kupatia experience tu hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 22 bado akili haijakomaa ni kijana anahitaji muongozo tu, na usikute amesharogwa na huyo mwanamke maana graph yake hapo hot Kwa umri wake ingawa siyo wote.
Ni kweli kwa kijana wa miaka 22 ni bado kijana mdogo sana wakuwaza ndoa na mwanamke wa miaka 32, Kijana wa miaka 22 unatakiwa uwe mpenzi wa miaka 18 ili muanze kupata uzoefu na ukishafikisha miaka 27 sasa hapo unaweza kuoa binti wa miaka 20 , 22.
 
Back
Top Bottom