mambo ya nyakati
Senior Member
- Aug 24, 2022
- 115
- 146
Kwanini mkuu mbona nampenda sana kila siku akiniumiza nabaki nalia tuuhUmesharogwa tayari siyo mzima wewe.
Sawa mkuuMiaka 32 mbona bado mdongo tu....kama umekubali kuishi nae kwa nini usimuoe?
-1ohoo, handicap (+1)
Kwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?Miaka 32 mbona bado mdongo tu....kama umekubali kuishi nae kwa nini usimuoe?
Mume gani mkuuKwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?
Huyo mwanamke siyo rika lake, Pili ana mume wake, watu wa rika lake wamejaa kibao na wanatafuta wenza, si vyema kumpotosha mtu kwenye vitu sensitive.
Usikilize moyo wako unasema nini?Ushauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke...
Hapo maana yake huyo mwanamke ana Watoto Wawili, very fun.kwanini mkuu mbona nampenda sana kila siku akiniumiza nabaki nalia tuuh
Namimi au sioHapo maana yake huyo mwanamke ana Watoto Wawili, very fun.
Huyo aliyezaa naye ndio mume wake.Mume gani mkuu
Naungana na wewe ikiwa kama atafata huu ushauri atafanikiwa....angalia rika lako istoshe huyo mwanamke anamtoto kwa vyovyote mtasumbuana huko muendako yeye amtafute sahizi yake shubaaaamitKwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?
Huyo mwanamke siyo rika lake, Pili ana mume wake, watu wa rika lake wamejaa kibao na wanatafuta wenza, si vyema kumpotosha mtu kwenye vitu sensitive.
ππππππ kama kuna ukweli hivi"Namimi au sio
Asante mkuu
Kweli nitulize mawengeTuliza wenge bwanaharusi
SawaHuyo aliyezaa naye ndio mume wake.
Haya yote ni mambo ya nyakati kama jina lako 22yrs unaoa namba A mtu wa 32yrs wakati kuna namba mabinti namba E mtaani ππ au unapenda kuwa kiben tenUshauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu
Maoni yenu.