mambo ya nyakati
Senior Member
- Aug 24, 2022
- 115
- 146
- Thread starter
-
- #21
24 bhana sio 22 [emoji22]Haya yote ni mambo ya nyakati kama jina lako 22yrs unaoa namba A mtu wa 32yrs wakati kuna namba mabinti namba E mtaani [emoji23][emoji23] au unapenda kuwa kiben ten
Miaka 22 bado akili haijakomaa ni kijana anahitaji muongozo tu, na usikute amesharogwa na huyo mwanamke maana graph yake hapo hot Kwa umri wake ingawa siyo wote.Haya yote ni mambo ya nyakati kama jina lako 22yrs unaoa namba A mtu wa 32yrs wakati kuna namba mabinti namba E mtaani 😂😂 au unapenda kuwa kiben ten
sawaMiaka 22 bado akili haijakomaa ni kijana anahitaji muongozo tu, na usikute amesharogwa na huyo mwanamke maana graph yake hapo hot Kwa umri wake ingawa siyo wote.
Huenda kuna sababuHaya yote ni mambo ya nyakati kama jina lako 22yrs unaoa namba A mtu wa 32yrs wakati kuna namba mabinti namba E mtaani 😂😂 au unapenda kuwa kiben ten
Muoe acha utoto.Utakuwa unamuita auntie.Ushauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh
Yeye ana mika 32 kwasasa kanipita mika 9, yeye anamtoto mmoja wa miaka 8
Mimi sina.
Na kila akinikosea mbona huwa naumia mimi kuna siku nilijikuta nalia tuuh ndani siku nzima kisa aliniudhi nikamwambia tuachane, akasema sawa Moyo ukawa unaniuma sana
Hivi hapa nikiweka mwili na roho ntakuwa najidanganya au niishi nae tuuh
Maoni yenu.
[emoji22]Muoe acha utoto.Utakuwa unamuita auntie.
Wapi amesema mwanamke ameolewa au anamume ? ninachosema mimi ikiwa anampenda na amekubali na anaishi nae ndoa itapunguza nini?Kwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?
Huyo mwanamke siyo rika lake, Pili ana mume wake, watu wa rika lake wamejaa kibao na wanatafuta wenza, si vyema kumpotosha mtu kwenye vitu sensitive.
Ushauri wakoKwa hesabu zangu naona wew una miaka 23 halafu una mahusiano na mmama wa miaka 32…. Aahh sawa kila la kheri
Yani hujui kama huyo ni Mke wa mtu? Pole.Wapi amesema mwanamke ameolewa au anamume ? ninachosema mimi ikiwa anampenda na amekubali na anaishi nae ndoa itapunguza nini?
Unajuaje? Kama angekuwa mke wa mtu mbona anaishi na mshikaji na anataka jamaa amuoe...atamua vipi kama yupo kwenye ndoa nyingine?Yani hujui kama huyo ni Mke wa mtu? Pole.
Limbwata, wanawake waliozalishwa na kuachwa wengi wao wana amini kwenye kuroga ili kumuendesha mwanaume atoe pesa za kumlea mwanae.Ushauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh
Yeye ana mika 32 kwasasa kanipita mika 9, yeye anamtoto mmoja wa miaka 8
Mimi sina.
Na kila akinikosea mbona huwa naumia mimi kuna siku nilijikuta nalia tuuh ndani siku nzima kisa aliniudhi nikamwambia tuachane, akasema sawa Moyo ukawa unaniuma sana
Hivi hapa nikiweka mwili na roho ntakuwa najidanganya au niishi nae tuuh
Maoni yenu.
Dogo, kama hujui kiti inaitwa LIMBWATA, ndio hiyo, icho kinachouma moyoni na unalia kiujingaujinga ni kwamba nafsi yako imekamatwa. kimbilia kwa Yesu, acha uzinzi, umeshalizwa.Ushauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh
Maoni yenu.
Inamaana ww una miaka 23? Ww ni mtoto mdogo sanaaaaaaUshauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke,
kwasasa kwao baadh wananijua, yeye anangangania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita miaka 9 huyu mwanamke na ndugu zake hawasemi wamekaa kmy tuuh
Yeye ana mika 32 kwasasa kanipita mika 9, yeye anamtoto mmoja wa miaka 8
Mimi sina.
Na kila akinikosea mbona huwa naumia mimi kuna siku nilijikuta nalia tuuh ndani siku nzima kisa aliniudhi nikamwambia tuachane, akasema sawa Moyo ukawa unaniuma sana
Hivi hapa nikiweka mwili na roho ntakuwa najidanganya au niishi nae tuuh
Maoni yenu.
Ni kweli huyo mwanamke kashapoteza kwaiyo ana force ndoa, ni vizuri mwanaume umezidi miaka 10 mwanamke, wanawke waki Afrika wanakuwa sana kimwili,huyo mwanamke akijichanganya akamuoa tu baada ya miaka 8 tu atamuona kama mama yake mdogo.Kwa nini mnapenda kupotosha vijana badala ya kuwapa muongozo?
Huyo mwanamke siyo rika lake, Pili ana mume wake, watu wa rika lake wamejaa kibao na wanatafuta wenza, si vyema kumpotosha mtu kwenye vitu sensitive.
😂😂😂kwamba kijana wetu kapewa mauno ya uzaziHuenda kuna sababu
Je umesoma hii thread | https://www.jamiiforums.com/threads/hakuna-wanawake-watamu-na-wanaojua-mapenzi-kama-sugar-mumy.2018309/post-43648080
Bado mtoto wewe, subiri ukuwe ndio utajuwa kuna watu wameoa wake za watu.unajuaje ? kama angekuwa mke wa mtu mbona anaishi na mshikaji na anataka jamaa amuoe...atamua vipi kama yupo kwenye ndoa nyingine ?
Ni kweli kwa kijana wa miaka 22 ni bado kijana mdogo sana wakuwaza ndoa na mwanamke wa miaka 32, Kijana wa miaka 22 unatakiwa uwe mpenzi wa miaka 18 ili muanze kupata uzoefu na ukishafikisha miaka 27 sasa hapo unaweza kuoa binti wa miaka 20 , 22.Miaka 22 bado akili haijakomaa ni kijana anahitaji muongozo tu, na usikute amesharogwa na huyo mwanamke maana graph yake hapo hot Kwa umri wake ingawa siyo wote.
Kwamba kuna blackmailHuenda kuna sababu
Je umesoma hii thread | https://www.jamiiforums.com/threads/hakuna-wanawake-watamu-na-wanaojua-mapenzi-kama-sugar-mumy.2018309/post-43648080