Acha kuoa mwanamke unayempenda sana hadi unalia, akikupiga na kitu kizito utakufa au utaua. Oa mwanamke unayempenda kwa kiasi.Ushauli
Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke...
eeet mkuuKwani wanakula kilo moja?[emoji38]
Fuata moyo wako mkuu.eeet mkuu
Sawa mkuuFuata moyo wako mkuu.
Yani hadi uwezi kujisogeza zaid ya heading haya pole
Sasa mbona umefuta content yenyewe
Hawezi kujua, na siku hizi kuoana bila bikra ni jambo la kawaida sana.Yani hujui kama huyo ni Mke wa mtu? Pole.
Mke wako bado anasoma acha kuhangaika na wanawake za watu
Akili kichwani kwako.
Hiyo ndo content.Sasa mbona umefuta content yenyewe