Naomba mawazo yako kwenye hili

Naomba mawazo yako kwenye hili

Amnaa huyo ni best ever! Huwez kujua umuhim wake mpaka utafte kazi nyinginee... Tafta namna y kumpiga taf kubwa hata mradi asmamie yeye LAKIN zoez la kumpa mshahr kila siku kuna siku utachoka tu
 
Natamani ningekuwa na uwezo huo wa kumuunganisha Tena Ila sina ,maana mm ni mtu tu baki
Kama mnakaa karibu karibu hama nenda mbali kidogo na yeye, Kisha mtafute mkae mahali, ikiwezekana awepo na mtu mwingine, mshukuru kwa kile alichokufanyia na umwambie ukweli katika hali unayopita nayo, na utafute kiasi cha pesa ambacho utampa kama msingi wa yeye kufanya biashara, kumbuka biashara huanza na mtaji mdogo.
Na umueleze kuwa asitegemee tena kama utaendelea kumpa pesa na utabaki kuwa rafiki katika shida na raha.
Ni mtu mzuri usimuache ila usiendelee kumpa mshahara kila mwezi acha haifai.
 
Kama mnakaa karibu karibu hama nenda mbali kidogo na yeye, Kisha mtafute mkae mahali, ikiwezekana awepo na mtu mwingine, mshukuru kwa kile alichokufanyia na umwambie ukweli katika hali unayopita nayo, na utafute kiasi cha pesa ambacho utampa kama msingi wa yeye kufanya biashara, kumbuka biashara huanza na mtaji mdogo.
Na umueleze kuwa asitegemee tena kama utaendelea kumpa pesa na utabaki kuwa rafiki katika shida na raha.
Ni mtu mzuri usimuache ila usiendelee kumpa mshahara kila mwezi acha haifai.
Sawa, Asante Kwa ushauri
 
Amnaa huyo ni best ever! Huwez kujua umuhim wake mpaka utafte kazi nyinginee... Tafta namna y kumpiga taf kubwa hata mradi asmamie yeye LAKIN zoez la kumpa mshahr kila siku kuna siku utachoka tu
Sawaa
 
Back
Top Bottom