Naomba mbinu ya kumuacha mwanamke aliyekuganda

Naomba mbinu ya kumuacha mwanamke aliyekuganda

kazi kweli kweli
Untitled.jpg
 
Mdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!

Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.

Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'
Unathibitishaje huyo demu anafaa kuwa mke bora kwa huyu mleta mada?

Miaka 28 kwa mwanamke ni dakika za jioniiiiii, Anatafuta paku angushia gari bovu.

Na anaona kwa huyu kijana wa 24 years ndio mahali sahihi pa kupaki basi.
 
Mi mwenyewe mwezi mmoja uliopita nilizoeana na dada mmoja naefanya nae kazi taasisi moja ila mikoa tofauti kulikua na semina ndo ilikua mara yangu ya kwanza kukutana nae sahivi kila siku kabla sijalala lazima anitumie meseji " Usiku mwema Darling" huwa najibu "fresh na kwako pia" maana mi ni mgumu mapenzi yamenipitia pembeni sana.

Jana kaniambia eti anajikuta ananiwaza sana kila saa mi nikamjibu "usiwaze"
Naogopa kumuwashia green light asije kuniganda bure alafu nikam-disappoint.
Maana mi sipendeki nikipendwa sana naona nasumbuliwa natafuta njia ya kurudi singo.
Tunaendana hapa.
 
Back
Top Bottom