Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mwambie tunamngoja 😹😹😹Mwache aneng'eneke atarudi tu hapa na uzi wa majuto, we subiri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie tunamngoja 😹😹😹Mwache aneng'eneke atarudi tu hapa na uzi wa majuto, we subiri tu
Kunzia leo mafundi simu ni tishio kwa huduma za simu na ili TCRA waunde sheria kuhusu mapenzi na mafundi simuWakuu poleni na majukumu.Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye...
Mhhhhh yaani mwanamke hujamtongoza akwambie anajikuta anakuwaza? Aiii huo ujasiri wake umepitiliza,Mi mwenyewe mwezi mmoja uliopita nilizoeana na dada mmoja naefanya nae kazi taasisi moja ila mikoa tofauti kulikua na semina ndo ilikua mara yangu....
Zidisha kumpenda atakuacha niamini mimiWakuu poleni na majukumu.Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana...
nimekosea mpangilio🙏)MtM
mbona nipo singo mkuuWewe tena hutosheki mkuu tuache tulio Single tupate wenza 🐒
Unataka ufanye kilimo cha mvua sio cha watoto, huyo anatafuta wa kumsitiri hajali hata umbali.Nilimwambia tuko mbali mbali sana akasema ye yuko tayari kuja muda wowote nikitaka aje ikabidi nikate hiyo stori nikaanza kumuuliza "vipi mvua huko zinanyesha?"
ona aibu wewe uongo tumbona nipo singo mkuu
Unathibitishaje huyo demu anafaa kuwa mke bora kwa huyu mleta mada?Mdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!
Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.
Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'
Tunaendana hapa.Mi mwenyewe mwezi mmoja uliopita nilizoeana na dada mmoja naefanya nae kazi taasisi moja ila mikoa tofauti kulikua na semina ndo ilikua mara yangu ya kwanza kukutana nae sahivi kila siku kabla sijalala lazima anitumie meseji " Usiku mwema Darling" huwa najibu "fresh na kwako pia" maana mi ni mgumu mapenzi yamenipitia pembeni sana.
Jana kaniambia eti anajikuta ananiwaza sana kila saa mi nikamjibu "usiwaze"
Naogopa kumuwashia green light asije kuniganda bure alafu nikam-disappoint.
Maana mi sipendeki nikipendwa sana naona nasumbuliwa natafuta njia ya kurudi singo.
Inaoneshwa wapi?ona aibu wewe uongo tu
utarogwa we ayaInaoneshwa wapi?
Upo dunia gani mkuu? Mbona ni kitu ya kawaida zama hizi demu anaweza kukutongoza anakupiga mistari we mwenyewe unakosa cha kujibu unabaki unacheka tu.Mhhhhh yaani mwanamke hujamtongoza akwambie anajikuta anakuwaza? Aiii huo ujasiri wake umepitiliza,
Kwannutarogwa we aya
Nita m tag wifiii hapa akuache huko pm😁😁😁mbona nipo singo mkuu
mtag tu nimjue maana sina 😅Nita m tag wifiii hapa akuache huko pm😁😁😁