Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Ukipendwa penda, utajakupenda pasipo kupendwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mle 0713Wakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)
Hivi nilijibu kwel hiiJibu swali
We unaonaje?Hivi nilijibu kwel hii
nililewaWe unaonaje?
Ukilewa usichatnililewa
Type kisa chako mkuuNdivyo walivyo!
Umenikumbusha mbali!!
Kinachokusumbua ni roho Yako kuwa dhaifu wakati ya kwake ni very strong"elewa neno strong"halafu Huwa Wana support ya nature hao viumbe!!
Trust me utashindwa kumwacha!!anataka uhusiano wa kudumu hasta ndoa kabisaaa!!!
Kosea umpe mimba sasa utajua hujui!!!
Hai ni wife materials kabisa lakini"wanakusaliti secondary stage,japo sio kingono"!!!
Mwambie ukweli TU"Tuishie hapa,sioni future yangu mi nawewe"! Halafu uone moyo utaoavyokuuma hadi utashindwa kulala utakua unaamka usiku!!
Wabena wanajua kuganda !!!
Duuh aseeWakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)