Ila wewe mchokozi !😀wabena kuna ujumbe wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe mchokozi !😀wabena kuna ujumbe wenu
Hapana muonee huruma,furaha yake ameshakuambukiza ukimwi anataka wote muanze CTCWakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)
Mtuachewabena kuna ujumbe wenu
OkMama ako muongo sana,alikupiga fix
Ila hapo Mbezi Mwisho kuna vifaa vya kufa mtu. Yaani vikitoka mkoani tu makazi ni Mbezi na kuna mchanganyiko wa makabila mbali mbali. Hapo panatisha sana.Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Afate huu ushauri hatojuta.Unathibitishaje huyo demu anafaa kuwa mke bora kwa huyu mleta mada?
Miaka 28 kwa mwanamke ni dakika za jioniiiiii, Anatafuta paku angushia gari bovu.
Na anaona kwa huyu kijana wa 24 years ndio mahali sahihi pa kupaki basi.
Mwanaume ukiweza kuji control Nyege ujue utafanikiwa sana kwenye maisha yako.Mi mwenyewe mwezi mmoja uliopita nilizoeana na dada mmoja naefanya nae kazi taasisi moja ila mikoa tofauti kulikua na semina ndo ilikua mara yangu ya kwanza kukutana nae sahivi kila siku kabla sijalala lazima anitumie meseji " Usiku mwema Darling" huwa najibu "fresh na kwako pia" maana mi ni mgumu mapenzi yamenipitia pembeni sana.
Jana kaniambia eti anajikuta ananiwaza sana kila saa mi nikamjibu "usiwaze"
Naogopa kumuwashia green light asije kuniganda bure alafu nikam-disappoint.
Maana mi sipendeki nikipendwa sana naona nasumbuliwa natafuta njia ya kurudi singo.
😅😅😅😅Mdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!
Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.
Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'
Ni kwa sababu Mwanamke anayekupenda anakuheshimu, anakuthamini.Hii comment imebeba ujumbe mkubwa sana mkuu nakumbuka Mama aliwahi kunambia ili ufurahie mahusiano au ndoa omba sana upate atakaye kupenda yeye zaidi
Kituo cha MsiganiMpeleke polisi
Namimi natafuta mke wa2 akikupa pia nipe mkuuAkikupa unipe
Anaweza kuomba na akapewa.Omba tigo atakuacha tu
Bado hajatoa namba mkuu ila akitoa utapata.Namimi natafuta mke wa2 akikupa pia nipe mkuu
Ukipata na mimi nipeAkikupa unipe
Mdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!
Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.
Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'