Naomba mbinu ya kumuacha mwanamke aliyekuganda

Naomba mbinu ya kumuacha mwanamke aliyekuganda

Wakuu poleni na majukumu.

Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.

Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.

Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.

Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.

JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?

(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)
Hapana muonee huruma,furaha yake ameshakuambukiza ukimwi anataka wote muanze CTC
 
Huyo anataka kukufleisha umri wako 24 yrs ni umri wa kutafuta MAISHA na mali achana na single mother mzee

Huyo Ana 28 yrs anataka kukuangushia jumba bovu dakika za jioni .✊🏿
 
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Ila hapo Mbezi Mwisho kuna vifaa vya kufa mtu. Yaani vikitoka mkoani tu makazi ni Mbezi na kuna mchanganyiko wa makabila mbali mbali. Hapo panatisha sana.
 
Unathibitishaje huyo demu anafaa kuwa mke bora kwa huyu mleta mada?

Miaka 28 kwa mwanamke ni dakika za jioniiiiii, Anatafuta paku angushia gari bovu.

Na anaona kwa huyu kijana wa 24 years ndio mahali sahihi pa kupaki basi.
Afate huu ushauri hatojuta.

28 yrs kwa mwanamke ni miaka mingi Sana
 
Mi mwenyewe mwezi mmoja uliopita nilizoeana na dada mmoja naefanya nae kazi taasisi moja ila mikoa tofauti kulikua na semina ndo ilikua mara yangu ya kwanza kukutana nae sahivi kila siku kabla sijalala lazima anitumie meseji " Usiku mwema Darling" huwa najibu "fresh na kwako pia" maana mi ni mgumu mapenzi yamenipitia pembeni sana.

Jana kaniambia eti anajikuta ananiwaza sana kila saa mi nikamjibu "usiwaze"
Naogopa kumuwashia green light asije kuniganda bure alafu nikam-disappoint.
Maana mi sipendeki nikipendwa sana naona nasumbuliwa natafuta njia ya kurudi singo.
Mwanaume ukiweza kuji control Nyege ujue utafanikiwa sana kwenye maisha yako.

Kuna mbuzi hapa wanakuonea wivu hapa bila kujua wangepoteza money and time resources.
 
Mdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!

Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.

Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'
😅😅😅😅
 
Hii comment imebeba ujumbe mkubwa sana mkuu nakumbuka Mama aliwahi kunambia ili ufurahie mahusiano au ndoa omba sana upate atakaye kupenda yeye zaidi
Ni kwa sababu Mwanamke anayekupenda anakuheshimu, anakuthamini.

Upendo wa Mwanamke kwa mwanaume uko kwenye Heshima......mengine hufata.
 
Mdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!

Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.

Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'

Very true! Ni bora mwanamke akupende yeye kwanza kabla haujampenda yeye. Wengi wanaoteswa na mapenzi wanakua wanawapenda wanawake bila ya kupendwa kwanza.

Wanasema Mungu hakupi unachotaka bali anakupa unachostahili!

Hatokuja kupata mwanamke atakaye mpenda katika maisha yake ngoja aone.
 
Back
Top Bottom