Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sawa mkuuUkipata na mimi nipe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuUkipata na mimi nipe
Kama amekuganda kasimame juani au kakae karibu na moto atayeyuka tu, au kama vipi tafuta watu wakubandueWakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)
Bro upo sawa ndio maana mimi nimeng'ang'ana na ephen_Mdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!
Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.
Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'
namimi nitaomba ili nimshauri aendelee kuganda,,28 yrs umri kwisha huo kama mimi tuSawa mkuu
We si ushampata wako wa maisha, tulia.namimi nitaomba ili nimshauri aendelee kuganda,,28 yrs umri kwisha huo kama mimi tu
na ukikomalia kitu wewe mbona nimekwisha,,,sawa natulia ila nataka nimsaidie pacha huyoWe si ushampata wako wa maisha, tulia.
Hakika hii ndio njia bora kuliko zote.Omba tigo atakuacha tu
Utamsaidia kubeba mimba pia?na ukikomalia kitu wewe mbona nimekwisha,,,sawa natulia ila nataka nimsaidie pacha huyo
swali limekaa kimtego hili,,kumbafu kumbafu zako🙌🏾🤣Utamsaidia kubeba mimba pia?
Jibu swaliswali limekaa kimtego hili,,kumbafu kumbafu zako🙌🏾🤣
Hao wengi ni mawaifu matirio.wabena kuna ujumbe wenu
Haki ukimuacha huyo shangazi utarogwa! Chezea wabena ww huogopi? Hili kabila wanajua kupenda na ni wavumilivu, ila Sasa mwanamke kakuzidi umri , pambana na Hali Yako, kama humtaki mwambie sikutaki au mblockWakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)
Yeah,hakikaApige chini atafute anayempenda yeye
Mpaka sasa mleta mada ajatoa namba, ni wazi kuwa bado anamhitaji.Ukipata usisahau ku.foward kwangu mkuu.
Elfu tano ndo nini aat, bado unakupiga hela huyoWakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)