Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huyo ni mrangi, andaa kanzu ya rangi inayofanana na sehemu ya post replySasa kaka mshenga tunafata Mila za kirangi au za kibena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mrangi, andaa kanzu ya rangi inayofanana na sehemu ya post replySasa kaka mshenga tunafata Mila za kirangi au za kibena?
Mama ako muongo sana,alikupiga fixHii comment imebeba ujumbe mkubwa sana mkuu nakumbuka Mama aliwahi kunambia ili ufurahie mahusiano au ndoa omba sana upate atakaye kupenda yeye zaidi
😂😂😂😂🙌🏾Huyo ni mrangi, andaa kanzu ya rangi inayofanana sehemu ya post reply
Ndio tunaandaa kanzu na ndevu tutapaka rangiSitaki
😁😁😁Ila kupanga mtu napo kipengele sanawe ungeweza
mbona unalazmisha sasaNdio tunaandaa kanzu na ndevu tutapaka rangi
kwaio nawewe umegoma kugandwa😁😁😁Ila kupanga mtu napo kipengele sana
Baraka hizo usikataembona unalazmisha sasa
HakikaMdogo wangu kama una akili shika maneno yangu haya HUYU NDIO MKE BORA KWAKO!
Sikuombei mabaya ila mkamate huyo Dada uishi maisha ya Amani duniani.
Sasa mpige chini huyo alafu baada ya miaka 2 utuletee uzi kusema 'wale tuliokuwa na mademu wanatupenda kwa dhati na kutuheshimu tukawadharau tukawapiga chini sasa tumenasa kwa mademu wakorofi tukutane hapa'
umejuajeBaraka hizo usikatae
Sijagoma kbskwaio nawewe umegoma kugandwa
we safi,,sasa nmekugandaSijagoma kbs
We elewa hivyoumejuaje
Heh jibu jepesi hiviWe elewa hivyo
Anatarko kwanza??Wakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)
Niumize kichwa nalipwa?Heh jibu jepesi hivi
🙌🏾🏃🏾♀️Niumize kichwa nalipwa?
✊✌🙌🏾🏃🏾♀️