Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mwambie wewe ni shoga, afu mtumie na hii........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi ipo wazi😁wakikuumiza moyo huko we rudi tu mi ntakupokeanarud zangu kwa Mpaji Mungu ,,afu sijamuona leo sijui yuko wap,,nitamganda hadi kieleweke
nitongoze basi,,ili navokuganda nijiamini 😂Nafasi ipo wazi😁wakikuumiza moyo huko we rudi tu mi ntakupokea
Saivi namwacha acha kwanza siku akiingia mfumo atanifata Mimi kule key key key tiimkeka umetiki huku kaka Mpaji Mungu .
Huyo ndio halali yako maana yeye na Wasabato ni kama moto na petrol.
Hapa hapa jukwaani? Maana pazia la hekaluni limepigwa pininitongoze basi,,ili navokuganda nijiamini 😂
hapa hapa bwan mashuhuda wawe wengiHapa hapa jukwaani? Maana pazia la hekaluni limepigwa pini
Akishashiba kile chakula cha miezi 3x3 kwisha habari yake lazima akufuate.Saivi namwacha acha kwanza siku akiingia mfumo atanifata Mimi kule key key key tii
Haihitaji siasa, mwambie humhitaji, kwan shida nini? Just say to her that it is over and to all of the futureWakuu poleni na majukumu.
Naombeni mbinu ya kuachana na huyu demu aisee ameniganda sana yaan Mimi Nina miaka 24 yeye ana 28 huyu demu nimekutana naye kwenye harakati hapa mbezi mwisho tulikuwa tunaongea fresh tu kirafiki simu yake ilipata tatizo nikamtengenezea hapo ndipo alipopata namba yangu akawa ananichek mara Kwa mara.
Mimi nikaona nisikae kizembe nikatia vocal akaeleweka nikawa naichapa papuchi getoni kwake ila kwangu hapajui sijawah mpeleka sasa hivi natafta sababu za kuachana naye kaniganda kinoma.
Kuna muda simpigii simu hata zaidi ya wiki na yeye apigi nafurahi najua kajiongeza ila yeye ananipigia ananiomba msamaha hata hajakosea ndo nakuwa njia panda.
Haniombagi hata Hela wazee Hela kubwa akiomba haizidi 5000. Yeye ni mbena ila nishamchoka.
JE NIFANYAJE NIMUACHE ILA ASIJISIKIE VIBAYA?
(Mimi sio mtaaluma wa kuandika wakuu kama nimekosea mpangilio🙏)
Anaelekea kibla mwenyeweAkishashiba kile chakula cha miezi 3x3 kwisha habari yake lazima akufuate.
Na ww kubalance mzani unakazahapa hapa bwan mashuhuda wawe wengi
Daah..nmepata pacha angu...ila haya yote yamefanya sipati wa maana ...kiuhalisia kama mwanamke ana dalili za kukuelewa hata kwa asilimia 50 rukq nae tu na uoe kabisa..the word can't mess up with a broke menNilimwambia tuko mbali mbali sana akasema ye yuko tayari kuja muda wowote nikitaka aje ikabidi nikate hiyo stori nikaanza kumuuliza "vipi mvua huko zinanyesha?"
Utanie usitanie mambo ni tayari😂😂😂😂 Aaah mshenga mbon umenitega pazuuuri sana,,, nilkua natania tu
SitakiUtanie usitanie mambo ni tayari
we ungewezaNa ww kubalance mzani unakaza
Maliza dakikaa za jiooooooooooniAnaelekea kibla mwenyewe
Sijui ndo wanasemaga utani au ila wapo wa hivo wengi tuMhhhhh yaani mwanamke hujamtongoza akwambie anajikuta anakuwaza? Aiii huo ujasiri wake umepitiliza,
Mhhhhh yaani mwanamke hujamtongoza akwambie anajikuta anakuwaza? Aiii huo ujasiri wake umepitiliza,
Sasa kaka mshenga tunafata Mila za kirangi au za kibena?Maliza dakikaa za jiooooooooooni