Naomba mbinu ya kupokea Matokeo ya usaili wa mchujo Utumishi

Naomba mbinu ya kupokea Matokeo ya usaili wa mchujo Utumishi

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,647
wakuu kama mnavyofahamu unapoitwa katika usahili utumishi matokeo hutolewa na kila mmoja huwa ana mbinu yake ya kuyapokea sasa leo hii.

Hebu tupeane mbinu ya kuyapokea matokeo maana kama mnavyojua matokeo yanaweza kukuvunja moyo au kukupa moyo wa kutokukata tamaa.
 
Sasa matokeo ya utumishi pia unajiuliza unayapokea vipi?
 
Halafu wewe mwifwa hujapata tu kazi,maana ni muda tokea nikuone humu kwenye mada za kazi
Ndio mkuu, nasubiri placement sasa baada ya kukandwa mara 3 mfululizo
 
Mimi nimeanza Muona 2022..
sasa kuna ubaya gan
Nimekuwa active hili jukwaa kuanzia July mwaka huu, kwa kuwa ananiona mara kwa mara ndio kanasema ameniona muda mrefu sasa, hajakosea, tangu july hadi sasa ni muda mrefu pia
 
unauliza au unatuambia[emoji3]
Anawaambieni, matokeo tayari yapo hewani.

Mliofanikiwa kuwa selected hongereni sana, mkapambane pia kwenye Prac.

Na wale ambao hamjafanikiwa kuwa selected msife moyo, next time itakuwa upande wenu
 
Kweli aisee,kuna mwanangu mmoja alifanya interview kibao za utumishi sita chache sana leo yupo bot anakula maisha
Hiyo nafasi ya BOT aliipa kupitia Utumishi?
 
Back
Top Bottom