Hahaha jamaa wa ajabu sanaSasa matokeo ya utumishi pia unajiuliza unayapokea vipi?
Huenda ni written yake ya kwanza na hajui jinsi matokeo yalivyoSasa matokeo ya utumishi pia unajiuliza unayapokea vipi?
Halafu wewe mwifwa hujapata tu kazi,maana ni muda tokea nikuone humu kwenye mada za kaziHuenda ni written yake ya kwanza na hajui jinsi matokeo yalivyo
Mimi nimeanza Muona 2022..Halafu wewe mwifwa hujapata tu kazi,maana ni muda tokea nikuone humu kwenye mada za kazi
Sisi ambao tupo kuanzia 2015 jukwaa la ajira tufanyeje sasa..na michongo holaaaHalafu wewe mwifwa hujapata tu kazi,maana ni muda tokea nikuone humu kwenye mada za kazi
wale wa tra tayar
Ndio mkuu, nasubiri placement sasa baada ya kukandwa mara 3 mfululizoHalafu wewe mwifwa hujapata tu kazi,maana ni muda tokea nikuone humu kwenye mada za kazi
Nimekuwa active hili jukwaa kuanzia July mwaka huu, kwa kuwa ananiona mara kwa mara ndio kanasema ameniona muda mrefu sasa, hajakosea, tangu july hadi sasa ni muda mrefu piaMimi nimeanza Muona 2022..
sasa kuna ubaya gan
Anawaambieni, matokeo tayari yapo hewani.unauliza au unatuambia[emoji3]
Mkuu ulikuwa umeomba kada gani?Nimetoswa tena hii Interview yangu ya 6 ,Mungu nisaidie mawazo yataniuwa
Tukomae kaka, sita chache sanaNimetoswa tena hii Interview yangu ya 6 ,Mungu nisaidie mawazo yataniuwa
Kweli aisee,kuna mwanangu mmoja alifanya interview kibao za utumishi sita chache sana leo yupo bot anakula maishaTukomae kaka, sita chache sana
Hiyo nafasi ya BOT aliipa kupitia Utumishi?Kweli aisee,kuna mwanangu mmoja alifanya interview kibao za utumishi sita chache sana leo yupo bot anakula maisha